Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.

Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?

Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?

Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.

Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?

Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Mkuu umewaza sana sijawahi waza hivi lakini hoja yako ina msingi sana
 
Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.

Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?

Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?

Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.

Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?

Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Twanga risasi wote au corona??
 
Binafsi nadhani ni Jaji mkuu, sababu kuna mihimili mitatu na mahakama ni mhimili wa pili na Bunge ni wa tatu
 
Back
Top Bottom