johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,008
- 142,040
Naomba tu kuelimishwa kwa sababu Katiba ya JMT ni tofauti na ile ya nchi au Taifa la Zanzibar
Haya mambo ni Vizuri tukaelimishana Mapema kwa sababu siyo kila atakayekuwepo atakuwa na roho ya Mabeyo ya Uzalendo kwanza
Jumaa Mubarak 😄
Haya mambo ni Vizuri tukaelimishana Mapema kwa sababu siyo kila atakayekuwepo atakuwa na roho ya Mabeyo ya Uzalendo kwanza
Jumaa Mubarak 😄