Uchaguzi 2020 Katiba inaposema sifa za mgombea Urais ni kuwa na afya njema, msilidharau hili

Yuko hoi Sana. Ameamua kutafuta ushindi kwa kwa kukaa mezani. Eti Siro na time wamsaidie kuupata.
ICC wanawachunguza kwa ukaribu mkurugenzi wa mkuu wa Tumeccm na IGP baada ya kugundua wanaenda kufanya uchakachuaji tarehe 28 October
 
Bashite kipindi akiwa rafiki yake alijenga mahusiano ya karibu na wasaidizi wake na hao ndiyo humpa taarifa Bashite na yeye Bashite huwapa rafiki zake ndiyo maana imesambaa haraka kuwa mtukufu anaumwa
 
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.

Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya pia katika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.

Mgombea Urais anapofahamika hana afya njema, kumruhusu kuendelea na kampeni ni kuvunja katiba.
Hehehehe nani anaumwa?
 
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.

Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya pia katika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.

Mgombea Urais anapofahamika hana afya njema, kumruhusu kuendelea na kampeni ni kuvunja katiba.
Kweli kabisa..
Afya hasa ya akili pia ni muhimu sana..
Kuna mgombea licha ya kuwa na kibetri kinachomsaidia kupata hewa lakini pia ni Kichaa.
 
Lissu anasababisha kibetri cha mpinzani wake kinashindwa kuweka mapigo sawa, tume inataka kuingilia kumzuia Lissu kuongea. wamuache mwenye afya dhaifu ashindwe mpambano au ajitoe.
risasi 16 zimeshindwa kumzuia Lissu kuongea sidhani kama tume wataweza. jiwe akubali tu sasa Tanzania ni ya Lissu.
kucheza na Lissu ni kucheza na watanzania na jumuiya ya kimataifa.
 
Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya pia katika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.


Kupima afya na kujieleza juu ya sera zao ni wapi na wapi ???!!.

Wewe unataka mtu mmoja aumbuke tu.
 
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.

Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya pia katika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.

Mgombea Urais anapofahamika hana afya njema, kumruhusu kuendelea na kampeni ni kuvunja katiba.

Kwani this time hakuna push-ups
 
Majeraha mlimletea wenyewe
Ndohivyo sasa,kwamujibu wa mleta Uzi hakidhi vigezo bila kujali ni Nani alimletea.
Kama una ushaidi kuwa huyo 🖕 uliemquote ndo alimletea matatizo haya, kwanini ulete ushahidi hapa? Au Kama si hapa,nenda mahamani.
 
Hata mimi huwa nashangaa, Yule jamaa mwenye vyuma mwili mzima kwanini anahangaika vile🤔?
 
Back
Top Bottom