Moyo wake wa kuunga na waya mkuu. Ndiyo maana hawezi kutumia chopa.Thibitisha usemalo mkuu kama kweli una akili timamu
Moyo wake wa kuunga na waya mkuu. Ndiyo maana hawezi kutumia chopa.Thibitisha usemalo mkuu kama kweli una akili timamu
Yuko hoi Sana. Ameamua kutafuta ushindi kwa kwa kukaa mezani. Eti Siro na time wamsaidie kuupata.Kuna mgombea Leo siku ya NNE pumzi imekata
Kuwa na majeraha mengi pia sio afya njema hata jeshini haiafiki hili
Mr. Fudenge Hana kiungo Cha kusukuma damu nasikia ana carburetor ndiyo inampa kibiri. Saa hizi gari la mkaa limerudi garage
Ndiyo maana anafanya kampeni kwa mapozi?Mr. Fudenge Hana kiungo Cha kusukuma damu ❤ nasikia ana carburetor ndiyo inampa kibiri. Saa hizi gari la mkaa limerudi garage
Na kujibiwa na mtu hopelessNakuandikwa na mtu hopeless
Jshini sawa, lakini huyo unayemsema haombi kazi jeshini.Kuwa na majeraha mengi pia sio afya njema hata jeshini haiafiki hili
Vyote, japo huko upstairs ndiko kuna shida zaidi.mgombea ana shida ya kiafya ya akili au mwili?
Kama hili povu lililokutoka, ni dalili tosha za ukichaa/uchizi.Hasa lisu maana ki sayansi kujaa povu mdomoni wakati wa kuongea ni dalili ya ukichaa/uchizi
Jibu kuntu kabisa!Nyuzi hopeless zinasomwa na watu hopeless.
Duuh!Unamuongelea Mgonjwa aliyeshindwa kufika mahakamani kwa kisingizio cha ugonjwa ??
Hiyo siyo dalili ya schizophrenia. Baadhi ya dalili za mwenye schizophrenia ni hizi:Rais anapofikiri ni haki yake kuwa Rais na anachoamua yeye tu ndiyo sahihi ni hatari sana.
Yule anaevimba uso kama puto hawezi kukaa mbali na ARV.Hasa lisu maana ki sayansi kujaa povu mdomoni wakati wa kuongea ni dalili ya ukichaa/uchizi
HASA AKIWA AMETUMIA DAWA ZA THEATRE MARA NYINGI SANAKazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.
Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya piakatika mchujo wapewe nafasi ya kujieleza na sera zao katika lugha itakayokubalika.
Mgombea Urais anapofahamika hana afya njema, kumruhusu kuendelea na kampeni ni kuvunja katiba.
Hapo sawa. Huyu mgombea mwingine ana dalili kama zote za ugonjwa huo. Maana yeye kampeni zake usiposikia matusi, kejeli na vitisho ujue siyo yeye.Hiyo siyo dalili ya schizophrenia. Baadhi ya dalili za mwenye schizophrenia ni hizi:
1. Grandiosity: Anajiona yeye ndiye msomi kuliko wote. Anajua sheria kuliko hata maprofessa wa sheria waliomfundisha. Anakijua kiingereza kuliko hata muingereza wa Ireland. Wengine wote anawaona ni washamba lakini anataka wampe kura zao. Anajiona yeye anaifahamu sana ulaya na marekani na angependa akiwa rais nchi yetu ataifumua na kuweka mifumo ya utawala na mingine ya ulaya na marekani ikiwemo ile ya ushoga.
2. Delusions: Mambo ambayo si ya kweli anayaona ndiyo ya kweli na yale ya kweli anayaona si ya kweli.Hivyo kwake uwongo ndiyo ukweli. Reli iliyojengwa na mkoloni miaka 100 iliyopita ataiona iko sawa na hii tunayojenga sasa ya sgr, hivyo anaona kuijenga ni kupoteza tu pesa za umma. Bwawa la kuzalisha umeme la Mtera analiona ni sawa tu na hilo bwawa tunalolijenga sasa huko Rufiji. Anaona kuwa zile traffic lights kule jijini Chato ni kwa ajili ya kuongozea punda, mikokoteni na baiskeli na kadhalika. Hizi kwenye phscopathology zinaitwa delusions.
3. Hallucinations: anakuwa anasikia au kuona au kuhisi vitu ambavyo havipo. Atahisi polisi wanakuja kumkamata. Atahisi wanamsema vibaya nk. Kutoka na hallucinations hizi anakuwa aggressive ili kujihami: atatukana kila mtu hadi tume iliyomteua kuwa mgombea urais, ataahidi vitu visivyowezekana na kadhalika.
Dr Akili, uwe na huruma basi! Ila ww ni jasiri!Na hasa afya ya akili la sivyo tunaweza kuwa na rais mwenye memory disc iliyovurugika - mwenda wazimu.