NBC Premier League leo kwa mechi moja ya kiporo. Ni Kagera Sugar watakuwa uwanja wa nyumbani kuwaalika mabingwa watetezi Simba SC.
Je, ni Kagera ama Simba SC nani kukila kiporo hiki?
Mechi hi itaruka mubashara Hapa Hapa JF
UPDATE
Mpira Umeshaanza hapa Dimba La Kaitaba.
17β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
20β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
25β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
32β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
40β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
45β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
HALF TIME 0 0
Kipindi cha Pili kimeanza
50β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
55β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
60β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
68β Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
70β KAGERA 1 SC 0
Simba Wanafanya Mabadiriko
77β Yusuph Mhilu na Bocco Wanaingia
82β Kagera Sugar 1 Simba Sc 0
FT KAGERA SUGAR 1 SIMBA SC 0