Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,568
Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam.
Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.
---
Kikosi cha Simba kinachoanza mchezo
7' Goal Jean Baleke Simba 1 - 0
12' Goal Jean Baleke 2 - 0
40' Goal Jean Baleke anafunga kwa njia ya penati, Simba inaongoza 3 - 0
HT: Simba 3 - 0 Coastal Union
Kipindi cha pili kimeanza
Kipindi cha pili kimeisha Simba 3 - 0 Coastal Union
Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.
---
Kikosi cha Simba kinachoanza mchezo
7' Goal Jean Baleke Simba 1 - 0
12' Goal Jean Baleke 2 - 0
40' Goal Jean Baleke anafunga kwa njia ya penati, Simba inaongoza 3 - 0
HT: Simba 3 - 0 Coastal Union
Kipindi cha pili kimeanza
Kipindi cha pili kimeisha Simba 3 - 0 Coastal Union