Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ifikie wakati Bodi ya Ligi na baba yao TFF wawe wakali kidogo. Kitendo cha kugoma kutoa tathmini baada ya mchezo, ni utovu wa adabu kwa wadhamini na wanafamilia wote wa mpira wa miguu.Nauliza benchi la ufundi jana walihojiwa baada ya mchezo au kama kawaida yao siku hizi?
Dah yote maisha tu, ni mapito tu haya hakika hayatadumu milele.
tunaganga yajayo sasa
SIMBA NGUVU MOJA
Hii video ni ya kutengenezwa tu, Simba Kampuni haiwezi kufungwa na timu ndogo kama Kagera Sugar! Msitukatishe tamaa kwa video za kupikwa vichochoroni.NBC Premier League leo kwa mechi moja ya kiporo. Ni Kagera Sugar watakuwa uwanja wa nyumbani kuwaalika mabingwa watetezi Simba SC.
Je, ni Kagera ama Simba SC nani kukila kiporo hiki?
Mechi hi itaruka mubashara Hapa Hapa JF
UPDATE
Mpira Umeshaanza hapa Dimba La Kaitaba.
17” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
20” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
25” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
32” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
40” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
45” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
HALF TIME 0 0
Kipindi cha Pili kimeanza
50” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
55” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
60” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
68” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
70” KAGERA 1 SC 0
Simba Wanafanya Mabadiriko
77” Yusuph Mhilu na Bocco Wanaingia
82” Kagera Sugar 1 Simba Sc 0
FT KAGERA SUGAR 1 SIMBA SC 0
VIDEO: GOLI PEKEE LA USHINDI KAGERA SUGAR
View attachment 2097107
Hahah Umenichekesha Mkuu, hapana Mimi MwananchiHivi boss wangu na wewe ni mmoja wa tunaolala na viatu ama?
Ooh. Afadhali. 🤣Hahah Umenichekesha Mkuu, hapana Mimi Mwananchi