Ukitaka kuona jazba ya wabongo taja mambo yanayohusu dini, utashangaa katika mada nyingine wanajenga hoja vizuri lakini ikifika dini tatizo. Punguzeni jazba na zijengwe hoja kama kukubaliana au kupingana basi hoja ndio ziamue na si jazba wala uchoyo.
Ni kweli Tanzania haina dini lakini watanzania wana dini na serikali inaowajibu wa kuwasaidia wananchi kuabudu katika dini wanazotaka, serikali pia ni watu. Kama katika ibada na sikukuu za kidini serikali inatoa ulinzi kuhakikisha waumini wanaabudu kwa imani zao basi ni sahihi kusema serikali inasaidia waumini kuabudu kwa gharama za walipa kodi bila kujali imani za walipa kodi.
Sidhani kama kuna tatizo lolote katika hili la serikali kusaidia waumini wa dhehebu fulani. Kama Membe amesema ruksa kujiunga OIC kwa faida ya waislamu wa Tanzania na haitaathiri uhuru wa dini zingine hiyo safi, hata kama ingekuwa Wasabato pia ingekuwa safi hakuna haja ya kuogopa.
Labda tu siku hizi kinachoonekana kuna baadhi ya dini lazima zitoke na misimamo yao baada ya serikali kuamua jambo. Hii sio safi, waacheni watu waabudu wanavyoona wao sahihi na halivunji sheria za nchi hata kama linawakera. Haikutokea na haita tokea watu wote tukawa na imani sawa, na dunia inapendeza zaidi watu wakawa na imani tofauti.
Tukumbuke pia dini zenyewe tumeletewa kwa malengo na madhumuni ya walio tuletea, kubeba bango na kuona wengine hawako sahihi sio poa tujenge hoja maisha yaendelee, kwa wasio waislamu mnapoteza nini Tanzania ikijiunga OIC. Isijekuwa mtu mwenyewe anachukia kusikia dini flani na anatumia dini yake kusema hisia zake.
Kauli mbiu ya Forum Hii izingatiwe katika kila jambo linaloletwa mbele, acheni woga wa kujadili dini zenu na viongozi wa dini zenu. Inapojengwa hoja nao wanapata mwongozo wa kwenda mbele na wenyewe ni binadamu na wanakosea pia, sio kila wanalo sema basi ndio msimamo wenu.
Vatican City [ˈvætɪkən ˈsɪti] (help·info), officially the State of the Vatican City (Italian: Stato della Città del Vaticano), is a landlocked sovereign city-state whose territory consists of a walled enclave within the city of Rome. At approximately 44 hectares (110 acres), and with a population of around 800, it is the smallest independent state in the world by both population and area.[2][3][4]
Vatican City is a city-state. It came into existence only in 1929. It is thus clearly distinct from the central authority of the Roman Catholic Church, known as the Holy See, which existed long before 1929. Ordinances of Vatican City are published in Italian. Official documents of the Holy See are issued mainly in Latin. The two entities even have distinct passports: the Holy See, not being a country, only issues diplomatic and service passports; the state of Vatican City issues normal passports. In both cases the number of passports issued is extremely limited.
The Lateran Treaty in 1929, which brought the city-state into existence, spoke of it as a new creation (Preamble and Article III), not as a vestige of the much larger Papal States (756-1870) that had previously encompassed central Italy. Most of this territory was absorbed into the Kingdom of Italy in 1860, and the final portion, namely the city of Rome with a small area close to it, ten years later, in 1870.
Vatican City is a non-hereditary, elected monarchy that is ruled by the Bishop of Rome the Pope. The highest state functionaries are all clergymen of the Catholic Church. It is the sovereign territory of the Holy See (Sancta Sedes) and the location of the Pope's residence, referred to as the Apostolic Palace.
The Popes have resided in the area that in 1929 became the Vatican City only since the return from Avignon in 1377. Previously, they resided in the Lateran Palace on the Caelian Hill on the opposite side of Rome, which was out of repair in 1377. The signing of the agreements that established the new state took place in the latter building, giving rise to the name of Lateran Pacts, by which they are known.
Source
Vatican City - Wikipedia, the free encyclopedia
OIC
The Organization of the Islamic Conference (OIC) is an international organization grouping fifty seven States which have decided to pool their resources together, combine their efforts and speak with one voice to safeguard the interests and secure the progress and well-being of their peoples and of all Muslims in the world.
The Organization was established in Rabat, Kingdom of Morocco, on 12 Rajab 1389H (25 September 1969) when the First meeting of the leaders of the Islamic world was held in the wake of the criminal Zionist attempt to burn down the Blessed Al-Aqsa Mosque on 21 August 1969 in the occupied city of Al-Quds.
Under the Charter, the Organization aims to:
1. Strengthen:
a) Islamic solidarity among Member States;
b) Cooperation in the political, economic, social, cultural and scientific fields;
c) The struggle of all Muslim people to safeguard their dignity, independence and national rights.
2. Coordinate action to:
a) Safeguard the Holy Places;
b) Support the struggle of the Palestinian people and assist them in recovering their rights and liberating their occupied territories.
3. Work to:
a) Eliminate racial discrimination and all forms of colonialism;
b) Create a favourable atmosphere for the promotion of cooperation and understanding between Member States and other countries.
sOURCE
www.oic-un.org/about_oic
HEBU WASOMI WETU WAKRISTO KWA WAISLAMU KABLA YA KUCHANGIA HOJA HAKIKISHA UNAELEWA JAMBAO UNALOTAKA KULISEMEA. KWA WALE WASIOJUA VATICAN BASI FAHAMUNI JAMANI HII NI NCHI, CITY STATE. HIVYO KUWA NA UBALOZI NA KUSAIDIA INAOWATAKA NI RUKSA. KAMA VILE TUNAVYOONA MATAIFA MBALI MBALI YAKISAIDIA MAENEO WANAYOTAKA. HATA BAADHI YA BALOZI NA MATAIFA YA KIARABU YAMEKUWA YAKISAIDIA MISIKITI, MASHULE NA TAASISI MBALI MBALI ZA KIISLAMU. HIYO NI RUKSA!
NA KAMA NI KUPATA MAHAKAMA YAO YA KADHI NI SAHIHI MRADI ISITUNGIWE SHERIA MAANA TANZANIA NI SECULAR STATE! WAO WANAOPENDA NA KUHESHIMU DINI YAO, WASULUHISHANE KWENYE VIKAO VYAO VYA DINI. WAKRISTO NAO WASULUHISHANE KATIKA MAKANISA YAO. WAPAGANI WAITANE KATIKA VIKAO VYAO VYA UKOO MBELE ZA MIUNGU YAO YA ASILI. KWA NINI MUNGU ASAIDIWE NA SHERIA YA NCHI WAKATI NI HIARI MTU KUMFUATA. KAMA WAKITOKEA WAISLAMU WASIOTAKA KUFUATA VIZURI MISINGI YA UISLAMU NAO WAPATE HAKI YA KUTOAMINI UISLAMU (HATA WAKI RETADI WASIBUGHUDHIWE!) WABAKI NA HAKI YA KUCHAGUA IMANI YAO WANAYOTAKA KUIFUTA AU KUTOIFUTA. KAMA MKRISTO, MWISLAMU AU MPAGANI ASIPORIDHIKA NA UTARATIBU WA DIN YAKE AENDE MAHAKAMA YA WATU WOTE ISIYOJARI DIN YA MTU. LAKINI KUWEKA SHERIA ITAKAYOMBANA MTU KWENYE SUALA LA IMANI SI SAWA. NA KUWABURUTA WANANCHI WOTE NDANI YA OIC NAYO SI SAWA. KWA NINI IFIKIRIWE KUWA TANZANIA NI NCHI YA KIISLAMU WAKATI SIO? HUU UTAKUWA UTAPELI! MAANA OIC INATAMBUA KUWA NCHI WANACHAMA NI NCHI ZA KIISLAMU ZINAZOTAFUTA MSHIKAMANO KATIKA KUTETEA MASLAHI YA UISLAMU NA KUENDELEZA MATAIFA YAO. HIVI WAISLAMU TWAMBIENI TANZANIA NI NCHI YA KIISLAMU? HATA KAMA TUTAPOTEZA MISAADA LAKINI LAZIMA TUWE WAKWELI TANZANIA HAINA SIFA YA KUJIUNGA NA OIC. KAMA WAGANDA NA MOZAMBIQUE WALITAPELI LAZIMA NASI TUWAIGE?