Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
Matusi haya kama ningekuwa muislamu ningeandamana kwa hili
Yaani inaonekana uislamu unafanywa kama wale watoto wa vipofu barabarani, wanatumika kuomba hela, this is shame siyo swala la kujisifu! Kikwete anatumia divide and rule, ameshindwa kutataua matatizo anajificha kwenye mwanvuli wa dini!
waberoya
Yaani inaonekana uislamu unafanywa kama wale watoto wa vipofu barabarani, wanatumika kuomba hela, this is shame siyo swala la kujisifu! Kikwete anatumia divide and rule, ameshindwa kutataua matatizo anajificha kwenye mwanvuli wa dini!
waberoya