Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,035
- 142,943
....mikopo isiyo na riba na mafuta bei rahisi........+ scholarships kwa wanafunzi...........
Kwa tujiunge na OIC kwa sababi hiyo/ hizi?
....mikopo isiyo na riba na mafuta bei rahisi........+ scholarships kwa wanafunzi...........
the secretary-general of the organization of the islamic conference, prof. Ekmeleddin ihsanoglu, received in his office today 30 august 2008, his excellency mr. hussain shihab, ambassador of the republic of maldives to the kingdom of saudi arabia, who presented his credentials as the permanent representative of his country to the organization of the islamic conference.
The ambassador of maldives conveyed to the secretary-general the compliments of the maldivian leadership. He also assured of his determination to further enhance oic-maldives relationship during his tenure.
On his part, the oic secretary general welcomed the new maldivian ambassador and expressed the hope that maldives would play a more proactive role in the organization.
views on various ways to further improve bilateral relations between maldives and oic were also exchanged in the meeting.
Mkandara said:Jokakuu,
Mkuu hapa unajaribu kusema kitu gani maanake kusema kweli siwafahamu kabisa wewe na mwanakijiji kuhusiana na Balozi.... Maldives ni member wa OIC kwa hiyo kinachosukuma hoja hii ni kipi hasa!..Hata UN nafikiri zipo nchi wanachama bado hawana balozi wao wa kudumu pale New York. Hii sio ajabu kabisa...
Kisha huko nyuma nimeona ukiandika kwamba OIC imeshindwa kutatua migogoro ya Somalia Sudan na sijui wapi hata sielewi unachojaribu kusema hapa... Hiyo UN imeshindwa sehemu ngapi si wao ndio baba iweje hili swala liwe la OIC. Sisi wenyewe tulishindwa kutatua mgogoro wa Rwanda, Burundi na Kongo una maana tufanywe kitu gani?..Au unachanganya OIC hii na ile international security body (OIC) inayojaribu kutatua migogoro ya nchi husika!.
faida za kujiunga na OIC:
a. Tutapata misaada
b. Jamii ya Waislamu wataridhika kuhusiana na chombo cha Kiislamu na hivyo itakuwa rahisi kupata misaada.
c. Tutakuwa tumejiunga na nchi nyingine ambazo nazo ni wanachama wa OIC na hivyo kuwa karibu katika kusaidiana na wanachama wenzetu.
d. OIC itasaidia kujenga vyuo kama kile cha Uganda
e. OIC kwa vile ina nchi nyingi zinazozalisha mafuta itatusaidia kupunguza bei ya mafuta na hilo litawanufaisha watu wote siyo waislamu tu.
f. Itatatusaidia kuchukua msimamo wa pamoja katika masuala ya kimataifa hasa katika kutetea haki za Wapalestina ili wawe na nchi yao ambapo Al Quds al Sharrif (Yerusalemu) ni makao makuu.
g. Itatusaidia kushiriki katika kulinda maslahi ya jamii ya Kiislamu popote duniani.
h. Itatusaida kuwa katika mchakato mzuri wa hatimaye kuwa sehemu ya Soko la Uchumi la Nchi za Kiislamu ambapo hatimaye tutakuwa katika Jumuiya ya Uchumi wa Nchi za Kiislamu. Hili litakuwa na faida kubwa sana za kiuchumi kama masuala ya kodi, kusafirisha bidhaa, mikopo isiyo na riba n.k
Kuna niliyosahau?
i.
Mkandara,
..nadhani ili nchi iwe na Permanent Representative/Balozi huko OIC inapaswa kwanza kuwa mwanachama.
..kuna hoja imeletwa kwamba tuwe na Balozi OIC kana kwamba kitendo hicho kitaepusha sisi kuwa wanachama wa OIC.
..siyo mimi niliyeandika kuhusu OIC na Somalia au Sudan. hapo naona umenionea kidogo.
..mimi naona tujiunge tu ili nchi isonge mbele tuweze kujadili mambo mengine yanayolihusu taifa letu.
Watoto ya Yakub na OIC?
Mwanakijiji said:JokaKuu.. usidhani; soma Katiba ya OIC.. huitaji kuwa mwanachama ili uwe na representative. Marekani ina Balozi OIC na si mwanachama. Hivi kuna ugumu gani wa kuisoma hiyo Katiba ya OIC?
..lakini kwa hali ya KIJAMII ilipofikia sasa hivi, ni busara kuwasikiliza WAISLAMU na kujiunga na OIC. Zaidi tujiunge on their[Muslims] terms.
Kulikuwa na thread ya Tanzania kujiunga na OIC, hata hivyo naiweka hii hapa inaweza kuunganishwa baadaye.
Nimepata hii OIC Charter na unaweza kuisoma hapa http://www.oicun.org/categories/The-OIC/About-OIC/OIC-Charter/
Pia dhima mpya ya OIC (New Vision of OIC) unaweza kuisoma hapa http://www.oicun.org/articles/37/3/New-Vision-of-the-OIC/3.html
Naamini mjadala utanoga na kuendelea mbele kama ni lazima TZ ijiunge na OIC
Nashukuru makala ya MMMJ kwenye TZ Daima ya wiki ameliongela vizuri sana.