NINAMSHANGAA Askofu Kilaini kutoa haja ya Tanzania kutojiunga na na IOC eti kwa sababu ni suala la dini na sio kijamii na kiuchumi kwa faida angalau ya sehemu moja ya Watanzania.
Hili si kweli, maana wanaoomba Tanzania ijiunge na IOC ni wale wanaotaka kuona Watanzania wanafaidika na programu za shirika hilo ambalo ni mipango kabakaba ya kuwanufaisha watu kiuchumi na kijamii kupitia benki zake na taasisi zingine za kifedha.
Sisi Wakatoliki si haba tunanufaika na fedha za Vatican kila mwaka kiasi ambacho viongozi wetu wa dini wameanza kukufuru. Huu ni wivu tu toka kwa viongozi wetu kwa ndugu zetu Waislamu.
Kama ndivyo kwamba IOC ni dini basi serikali itakuwa inawadhulumu Waislamu kwa kuendelea kuwa na Ubalozi wa Vatican hapa nchini jambo ambalo dhahiri ni la kidini na sio la kisiasa.
Tusiwe wanafiki Watanzania ili tujenge udugu na amani ya kweli kati yetu sisi Wakatoliki, Waislamu na wenzetu wa madhehebu nyingine hapa nchini.
Mkatoliki anayekataa unafiki,
Magobe T, kama hatuuigi...tuweke week end Jumatatu na Jumanne, then siku zilizobaki zote tufanye kazi...otherwise ujue TUNAIGA....na sijui umwiga mnyama gani...
Soma kwanza na uelewe. Kabla ya hilo uliliona niliisha sema yafuatayo:
Wakatoliki si wanachama wa World Council of Churches na wala hawajawahi kuomba kuwa wanachama.
NINAMSHANGAA Askofu Kilaini kutoa haja ya Tanzania kutojiunga na na IOC eti kwa sababu ni suala la dini na sio kijamii na kiuchumi kwa faida angalau ya sehemu moja ya Watanzania.
Hili si kweli, maana wanaoomba Tanzania ijiunge na IOC ni wale wanaotaka kuona Watanzania wanafaidika na programu za shirika hilo ambalo ni mipango kabakaba ya kuwanufaisha watu kiuchumi na kijamii kupitia benki zake na taasisi zingine za kifedha.
Sisi Wakatoliki si haba tunanufaika na fedha za Vatican kila mwaka kiasi ambacho viongozi wetu wa dini wameanza kukufuru. Huu ni wivu tu toka kwa viongozi wetu kwa ndugu zetu Waislamu.
Kama ndivyo kwamba IOC ni dini basi serikali itakuwa inawadhulumu Waislamu kwa kuendelea kuwa na Ubalozi wa Vatican hapa nchini jambo ambalo dhahiri ni la kidini na sio la kisiasa.
Tusiwe wanafiki Watanzania ili tujenge udugu na amani ya kweli kati yetu sisi Wakatoliki, Waislamu na wenzetu wa madhehebu nyingine hapa nchini.
Mkatoliki anayekataa unafiki,
NINAMSHANGAA Askofu Kilaini kutoa haja ya Tanzania kutojiunga na na IOC eti kwa sababu ni suala la dini na sio kijamii na kiuchumi kwa faida angalau ya sehemu moja ya Watanzania.
Hili si kweli, maana wanaoomba Tanzania ijiunge na IOC ni wale wanaotaka kuona Watanzania wanafaidika na programu za shirika hilo ambalo ni mipango kabakaba ya kuwanufaisha watu kiuchumi na kijamii kupitia benki zake na taasisi zingine za kifedha.
Sisi Wakatoliki si haba tunanufaika na fedha za Vatican
Kama ndivyo kwamba IOC ni dini basi serikali itakuwa inawadhulumu Waislamu kwa kuendelea kuwa na Ubalozi wa Vatican hapa nchini jambo ambalo dhahiri ni la kidini na sio la kisiasa.
,
Mimi nafikiri anayefananisha suala la OIC na kuwepo kwa ubalozi wa Vatican nchini hajui historia ya kwani kumekuwepo ubalozi huo. Mimi napata wasiwasi ni kwa vipi suala hili lipiganiwe na waislam zaidi na wala lisiwe la kitaifa?,kwa nini wanaojitokeza zaidi ni waislam?(tukiacha wachache ambao si waislamu).Ukisoma malengo ya OIC utapatajibu jibu kuwa imekusudiwa kunufaisha zaidi nchi wanachama ambazo ni za kiislam. Ifike wakati sasa tuwe makini na maamuzi tutakayoyachukua tusije jikuta tunavunja katiba yetu eti kwa kisingizio tu kuwa katiba si msaafu.Mimi nafikiri suala lolote linalohusu udini na ukabila hata kama linamaslahi vipi kwa taifa liogopwe kama ukoma!!Wana siasa jamani msitupotoshe kwa tamaa ya kubakia madarakani!!
Ubalozi wa Vatican uko Tanzania kwa sababu Vatican ni nchi kama zilivyo nchi nyingine.
Wakuu,waislamu wajiunge na IOC kupitia taasisi zao,na sio jina la Tanzania kutumika ktk umoja huo.
Wakristo walio members wa jumuhiya za kidini,hawatambuliki kama Tanzania,bali hutambulika kama wanachama wakristo kutoka Tanzania.
Naomba nieleweke,wakristo hatuko tayari kupokea misaada ya waarabu,kwa migongo ya waislamu,lazima misaada hiyo iwafaidishe waislamu,kwani wao ni walengwa wakuu,ivo basi Membe+ waislamu acheni kukurupuka,tafuteni kitambulisho chenu mtakachotumia kujitambulisha ndani ya IOC.
Lazima mtambue kuwa,hatuko tayari kula hiyo misaada yenu,kama ni bei ya mafuta kushuka,munaweza kufanya utaratibu wa kuhakikisha dini nyinginezo hazifaidi hayo mafuta.
Sisi wakristo hatuchanganywi sana na hayo mafuta,neno linasema "Mtu haishi kwa mkate tuu,bali kwa kila neno litokalo ktk kichwa cha MUNGU",tunaamini ivo na MUNGU wetu anazo NGUVU za kutupa alternative.
Waislamu jiungeni kama waislamu,si kama nchi ya Tanzania,otherwise ombeni kuunda nchi yenu ndani ya Tanzania ili iwe rahisi kutimiza adhma yenu.
Nawakilisha.
Kila taasisi inakuwa na ngazi zake na imetokea kuwa OIC ni jumuiya ya nchi sio Taasisi na hivyo ni mambo mawili tu . Aidha Tanzania ijiunge kwa niaba ya raia zake wanaofuata dini ya Kiislamu au kuacha kuingia kama nchi kwa kufuata matakwa ya baadhi ya raia wa Tanzania wenye choyo cha kuona husuda kwa wananchi wenzao watapata faida. Naamini Watanzania wengi hawako hivyo na wanahisi kuwa faida kwa wananchi wa dini nyengine, maadam haileti dhara ni jambo la kukubalika.
Si fikiri kuwa katika Tanzania hii bado wapo watu wenye mawazo kama yako. Ajabu unamtanguliza Mungu na huku kuwakatalia wenzio kumtambua Mungu kwa wanavyomtambuwa wao. Tuna uhuru wa kuabudu na hivyo Waislamu wana haki kuabudu na kuamini vyao. Ni bora ukakaa pembeni na kuacha kuwagawa Watanzania kwa misingi ya dini.