Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Kwenu mawakala wa Kanisa ndani ya JF,

Kawaambieni hao maaskofu kuwa wao ni chui wa karatasi tu. Hawawezi kufanya lolote. Wanachoweza ni kuitisha serikali tu iliyojaa mawakala wake. Baada ya kupuuzwa vya kutosha waislam wameamka. Katika suala la kadhi, vijana na waislam wote nchi nzima wanasubiri maelekezo juu ya nini cha kufanya.

Nasema na kurudia kuwa si maaskofu wala mawakala wao popote walipo wanaoweza kuuzima moto huo.

Tisicheze na amani kwa chuki za kijinga.

Acha hizo wewe! kwani wewe utaishi angani? Don't underrate the other side of the coin it can catch you by suprise. Unajua kuwa Moto unaweza kubadilishwa uelekeo na Kimbunga?

Tuwe constructive jamani. Mahakama ya Kadhi ni muhimu sana hapa Tanzania lakini iundweje hiyo ndiyo catchy.
 
Last edited:
Hivi mie ngoja niulize swali wakristo peke yao ndio walipa kodi kwanza wafanyabiashara wengi tanzania ni waislamu na ndio walipa wakubwa kama hutaki kachukue daftari la walipa kodi wakubwa TRA ujiangalie mwenyewe. Kuanzia Bakhressa, Zakhem, Zakaria etc je nao hawa wakihoji kodi yao inaenda wapi tutaishi na tutafika. Pili kama kigezo ni kodi mbona kuna hospitali za missionary serikali inazisaidia kujenga tena wakitoa na mchango wao kwa kigezo eti zitasaidia watu swali laja je mahakama ya kadhi haitasaidia watu tanzania if not waislamu si watu katika jamii.

Acheni kuwa biased wachangiaji wa humu ndani ya forums kama mna chuki yenu dhidi ya uislamu semeni lakini hii kitu hailali tunaisubiria kwa hamu ikwame tuone kama hii nchi ya wakristo au yetu sote. Msidhani waislamu wa sasa hivi ni kama wale waliokuwa wakikaa madrasa tumesoma wote shule hizo hizo tujibiwe kwa hoja na uwazi wapi na wapi na sio eti walipa kodi wa kikiristo watachukia kodi zao zinazoenda katika mahakama ya kadhi kwani waislamu hawalipi kodi?????

TRA ikiamua kufuatilia kodi kweli kweli hao uliwataja hutawasikia tena.
 
Serikali ya Kikwete itajutia mkondo iliyoamua kuuchukua wa kujihusisha na uendeshaji wa Misikiti kwa manufaa ya waislamu wenzake kwa gharama za wananchi wote! Ajifurahishe tu kwa kunyemelea ushindi wa uchaguzi mkuu ujao bila kujali wananchi wengine. Atatue matatizo ya sasa lakini ataacha msiba siku za mbeleni!
 
Last edited:
1. Je, ugharamiaji wa Mahakama za Kadhi unaweza kuvunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977? Ndiyo!
Ibara ya 19 (2) inaeleza kwamba "Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari la mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za ma mamlaka ya nchi". Kwa kuwa Waislamu wamesema kwamba uendeshaji wa Mahakama za Kadhi ni kuendesha ibada Mamlaka ya nchi haitakiwi kuingilia ibada hizo bali wahusika waachwe waendelee na uendeshaji ambalo ni jambo la mtu binafsi.

2. Je, kuwepo kwa Mahakama za Kadhi Zanzibar ni kuvunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Hapana!
NYONGEZA YA KWANZA ya Katiba hiyo imetaja Orodha ya Mambo ya Muungano na suala la Uenezaji wa Dini, Kufanya Ibada, Kutangaza Dini sio la Muungano. Pia suala la Mahakama zote isipokuwa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano sio jambo la Muungano. Kwa hiyo suala hili ni la Tanzania Bara pekee ambapo utangazaji wa dini upo nje ya Mamlaka ya Nchi. Katika Ibara ya 99 (2) (b) ya Katiba ya Zanzibar, 1984 imeandikwa kwamba Mahakama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano haitahusika na mambo ya Kiislamu ambayo yameanzia katika Mahkama za Kadhi. Kwa hiyo Mahakama za Kadhi za Zanzibar zimeanzishwa kwa Sheria za Zanzibar kama zilivyo Mahakama zingine hadi Mahakama Kuu, isipokuwa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.

3. Je, kuna mtu amewakataza Waislamu kuunda Mahakama za Kadhi? Hapana! Wafuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kuhusu uenezaji wa dini na sio kunukuu Katiba za Kenya, Ethiopia, Uganda, n.k.! Wazianzishe na kuzigharamia wenyewe! Ni ibada hiyo!
 
Last edited:
1. Je, ugharamiaji wa Mahakama za Kadhi unaweza kuvunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977? Ndiyo!
Ibara ya 19 (2) inaeleza kwamba “Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari la mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za ma mamlaka ya nchi”. Kwa kuwa Waislamu wamesema kwamba uendeshaji wa Mahakama za Kadhi ni kuendesha ibada Mamlaka ya nchi haitakiwi kuingilia ibada hizo bali wahusika waachwe waendelee na uendeshaji ambalo ni jambo la mtu binafsi.

2. Je, kuwepo kwa Mahakama za Kadhi Zanzibar ni kuvunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Hapana!
NYONGEZA YA KWANZA ya Katiba hiyo imetaja Orodha ya Mambo ya Muungano na suala la Uenezaji wa Dini, Kufanya Ibada, Kutangaza Dini sio la Muungano. Pia suala la Mahakama zote isipokuwa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano sio jambo la Muungano. Kwa hiyo suala hili ni la Tanzania Bara pekee ambapo utangazaji wa dini upo nje ya Mamlaka ya Nchi. Katika Ibara ya 99 (2) (b) ya Katiba ya Zanzibar, 1984 imeandikwa kwamba Mahakama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano haitahusika na mambo ya Kiislamu ambayo yameanzia katika Mahkama za Kadhi. Kwa hiyo Mahakama za Kadhi za Zanzibar zimeanzishwa kwa Sheria za Zanzibar kama zilivyo Mahakama zingine hadi Mahakama Kuu, isipokuwa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.

3. Je, kuna mtu amewakataza Waislamu kuunda Mahakama za Kadhi? Hapana! Wafuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kuhusu uenezaji wa dini na sio kunukuu Katiba za Kenya, Ethiopia, Uganda, n.k.! Wazianzishe na kuzigharamia wenyewe! Ni ibada hiyo!


Asante Mkuu kwa habari muruwa
 
Serikali ya Kikwete itajutia mkondo iliyoamua kuuchukua wa kujihusisha na uendeshaji wa Misikiti kwa manufaa ya waislamu wenzake kwa gharama za wananchi wote! Ajifurahishe tu kwa kunyemelea ushindi wa uchaguzi mkuu ujao bila kujali wananchi wengine. Atatue matatizo ya sasa lakini ataacha msiba siku za mbeleni!
Go on crying lakini sisi tunataka MyK..whetever chama itakuwa madarakani iwe CUF, iwe chadema, iwe CCM? when it comes to MyK we don't care who is in power?
 
Our leaders were sworn so that they can defend and protect the country's constitution. It seems they are either negligent, forgetful or cornered by a certain section of the electorate in which it is difficult to turn away!
 
Serikali ya Kikwete itajutia mkondo iliyoamua kuuchukua wa kujihusisha na uendeshaji wa Misikiti kwa manufaa ya waislamu wenzake kwa gharama za wananchi wote! Ajifurahishe tu kwa kunyemelea ushindi wa uchaguzi mkuu ujao bila kujali wananchi wengine. Atatue matatizo ya sasa lakini ataacha msiba siku za mbeleni!

Acha kumtishia Kikwete, kwani yy siyo anaeteua mwenyewe, na hata hivyo maaskofu ndo wa chochezi wa machafuko barani afrika, na kama maaskofu hawatachochea machafuko nchini, Tanzania ni paradiso. Na katu usimuonee kikwete yy ni Rais wa wowote kama walio pita. Dunia inajua kazi ya maaskofu ndiyo maana hata Mboma mkuu wa majeshi mstaafu alisema serikali iwape waislam haki yao, hawa ndo watu wenye busara.
 
Acha kumtishia Kikwete, kwani yy siyo anaeteua mwenyewe, na hata hivyo maaskofu ndo wa chochezi wa machafuko barani afrika, na kama maaskofu hawatachochea machafuko nchini, Tanzania ni paradiso. Na katu usimuonee kikwete yy ni Rais wa wowote kama walio pita. Dunia inajua kazi ya maaskofu ndiyo maana hata Mboma mkuu wa majeshi mstaafu alisema serikali iwape waislam haki yao, hawa ndo watu wenye busara.

Bwahahahah. Who is he in this beautiful world?
Nothing........a mere nothing.
 
Bwahahahah. Who is he in this beautiful world?
Nothing........a mere nothing.

Teh teh , kachezee ikulu ndo utamjua who is he!!!!!!!!!!!, hata kama unanyanyua vyuma na unacheza kama vandame , kamachezee uone kazi yake, kwa kuwa amewekwa na watu wengi inabidi tumuheshimu na tumsaidie kwa manufaa ya nchi yetu
 
Inasikitisha sana kuona Udini ulivyojengwa Tanzania. na kibaya zaidi ni pale unaposikia viongoizi wa dini hizi hasa waislaam na Wakristu wakirushiana madongo bila hoja za msingi..yaani kweli hawa ni watu wa Mungu au wachawi tu.

Binafsi nimelifuatilia swala hili kwa makini na hakika nimegundua kwamba Washeikh na Maaskofu, wote ni wadini wa kutupa! wote hawaoni nje ya kabati la Udini inapofikia swala lolote linaloweza kujanga jamii moja..huweiz kupata maendeleo kwa watu wote kwa pamoja ila maendeleo huanza na kila mmoja wetu pale aliposimama iwe ktk dini, kazi au mchango wowote ktk jumuiya hii ya Kitanzania..
.
Kwanza nitaanza na upande wa Masheikh..
Kweli mahakama ya kadhi ni sehemu ya Ibada yao kama ilivyo kwa Wakristu na Parokia..lakini vyombo hivi vyote vinahitaji baraka za serikali kuweza kuchukua maamuzi ya mahakama au parokia kuwa ndio haki ya wahusika.

Tofauti ya Parokia na Mahakama ya kadhi ni maswala wanayoshughulikia ktk ibada hizi. Kwa Waislaam maswala mazito ya Kijamii (Personal matters) hutolewa settlement na mahakama hizi wakati wakristu maamuzi ktk maswala haya tayari yamekwisha jengwa ktk mfumo wa Kisheria tunaoufuata..inakuwa vipi vigumu kwa Maaskofu kuliona hilo!
Hivyo, inawezekana kabisa serikali yetu kuchukua baadhi ya sheria kama zilivyo za wakristu ndani ya sheria na maamuzi ya mahakama za Madai ambazo zimebeba maamuzi mengi kulingana na jamii hii nikiwa na maana WATU na MAZINGIRA..
Zipo sheria ambazo zinakubalika kwa Wakristu na wasiokuwa na dini, ila Magistarte court Act, inapo Indetify dini moja kuwa sheria zake zimekuwa restricted ndipo utata unapoanzia. Kwani hiyo Act haikusema kutoitambua mahakama ya kadhi isipokuwa kutotambua na kuzuia matumizi ya yoyote ya sheria za kiislaam..

Hii ndio point wangesimama nayo kuonyesha kwamba sii swala la mahakama ya kadhi isipokuwa MCA kuwqeka wazi kwamba ina restrict matumizi ya sheria za kiislaam hivyo hata wakiunda baraza lao wenyewe kama Parokia halitaweza kutambulia kama inavyotambuliwa Parokia..

Upande wa pili wa shilingi inasikitisha sana kusoma Asokofu akisema kwamba:-

Waislamu kama wanataka, wanaweza kuanzisha Mahakama ya kadhi bila ya kuihusisha Serikali." Wana uhuru wa kuendesha mambo yao kwenye taasisi zao yanayoendana na masuala ya kiroho bila kuishirikisha Serikali.

Maneno haya ni dharau ya wazi kabisa...kwa sababu kuna maamuzi mengi ya Kidini yamefikiwa kwa kuihusisha serikali kaa vile sisi sote tunachukua Jumamosi na Jumapili kama siku ya Mapumziko kwa sababu ni siku ya ibada za Kikristu.. waislaam hawajadai kuondolewa kwa haki hilo ya ibada ama kutoihusisha serikali ati waktaka kwenda kusali wakasali kama sisi waislaam tunavyokwenda siku ya Ijumaa ambayo inatambulika kama siku ya kazi na Waislaam hulazimishwa kwenda kazini (kikatiba) hata wakati wa Ibada zao.

Wakristu wanasherehekea siku ya kuzaliwa na kufa kwa Yesu na serikali imeifanya kuwa Public Holiday lakini Waislaam hawawezi kuzua madai kwa misingi ya kufananisha kila kesi na Wakristu wakati vitu hizi vina uzito topfauti ktk kila dini au shehebu.. Kila dini ina umuhimu wa maswala la siku zake tofauti na dini nyingineyo huwezi kusema kama sisi tuna Parokia basi waislaam nao waanzishe parokia wakati hivi vyombo havifanani kabisa.. Parokia sii part ya ibada ya Kikristu ila ni sehemu ya utawalka wa Kikatoliki..

Nina hakika kabisa kama mahakama ya kadhi ingeitwa jina jingine mathlan - Baraza la Usuluhishi, wakristu wasingekuwa na tatizo kabisa wakati hoja ya msingi sio jina la chombo hiki isipokuwa sheria zinazotakiwa kutumika..
Hivyo ukisoma maelezo yote ya Askofu hakuna sehemu ameeleza kwa nini anapinga matumizi ya mahakama ya kadhi nje ya kuona Uislaam ukihusishwa na serikali. Kihs madai kwamba wao wana mahakama zao kuanzia ngazi ya Parokia hadi Roma.. je kuna Mkristu gani alipeleka madai yake kwa Parokia na akakata rufaa hadi Roma.

Utaratibu wa kanisa Katopliki hauwezi kutumika kote sii kwa Wakristu wote wala wananchi wote..kwani Waislaam hawana Roma yao hawana kesi inayoweza kwenda nje ya mipaka ya nchi wanayoishi.. Uislaam ni dini sio nchi au taasisi inayowaongoza waumini kwani mwongozo kwao ni Kuran.. Tofauti hizi ndizo zinazotupa sisi maamuzi ya kuchagua dini uitakayo, na laukama Uislaam wangekuwa na Roma au Pope, mimi nisingekuwa Muislaam...Ikiwa Mkrisdtu anaweza kwenda kizimbani kanisani akatubu akasamehewa hapa duniani na Akhera hii sii mfano mzuri kwa Muislaam au Mkristu mwenye imani tofauti na kutii nguvu ya Parokia na Roma kiroho..

Ndoa, mirathi na mengineyo ya part ya ibada ya Waislaam.. Kufanya lolote kinyume cha walivyoamriwa ni kupotoza ibada. Kufanya lolote kinyume cha matakwa ya dini kunaweza kumtoa muumini ktk Uislaam akawa hana tofauti na kafir..Ni muhimu sana Askofu huyu aelewe kwamba Muislaam asiyefuata sheria za ndoa na Mirathi hukiuka matakwa ya dini ktk ibada hiyo, na haiwezekani kabisa Bakwata au chombo chochote kutoa maamuzi mazito ambayo hayatambuliwi kisheria..Kuna faida gani?

Mwisho msingi wa kutokubaliana na mahakama ya kdhi ungejengwa kulingana na Jamii yetu na sio dini zetu..Je, Waislaam wanafuata ibada hizi? jibu lake ni hapana. Ndoa nyingi za wananchi ni kinyume cha mafundisho hivyo huwezi kuchukua part ya Ibada ktk usuluhisho ukasahau au kupuuza kilichotangulia.. hata kama ni Kusali Muislaam anatakiwa apate udhu kwanza kabla hajaingia msikitini hivyo ibada yake ipate uzito wa kupokelewa. Ni part ya ibada ya sala kwa Muislaam hatuwezi kusema waingie tu kama wakristu au vinginevyo kurahisisha matakwa yetu...

Waislaam nchini wana wake toka madhehebu mbali mbali wengine hata hawana dini..Waislaam nchini hawana Udhu ktk maswala ya ndoa mirathi na kadhalika hivyo huwezi ku settle matatizo ambayo kwanza hayakufuata misingi ya dini. na hao hao Mashekh wanafungisha ndoa hizi, wana vimada na watoto nje ya ndoa zao... Na hata yule Sheikh anayekataa kufungisha ndoa mtu anakwenda Halamashauri na ndoa ikakubalika..Je, hii mahakama ya kadhi itakuwa na kazi gani na itamhukumu nani haswa?.

Mara zote mahakama ya kadhi itafanya kazi tu kwa waumini wa kweli na hili haliwezekani nchini isipokuwa linawezekana tu ikiwa mwongozo unatngulia ndoa halali za kiislaam ambazo zinatambua uzito wa ibada hiyo.
 
Last edited:
Inasikitisha sana kuona Udini ulivyojengwa Tanzania. na kibaya zaidi ni pale unaposikia viongoizi wa dini hizi hasa waislaam na Wakristu wakirushiana madongo bila hoja za msingi..yaani kweli hawa ni watu wa Mungu au wachawi tu.

Binafsi nimelifuatilia swala hili kwa makini na hakika nimegundua kwamba Washeikh na Maaskofu, wote ni wadini wa kutupa! wote hawaoni nje ya kabati la Udini inapofikia swala lolote linaloweza kujanga jamii moja..huweiz kupata maendeleo kwa watu wote kwa pamoja ila maendeleo huanza na kila mmoja wetu pale aliposimama iwe ktk dini, kazi au mchango wowote ktk jumuiya hii ya Kitanzania..
.
Kwanza nitaanza na upande wa Masheikh..
Kweli mahakama ya kadhi ni sehemu ya Ibada yao kama ilivyo kwa Wakristu na Parokia..lakini vyombo hivi vyote vinahitaji baraka za serikali kuweza kuchukua maamuzi ya mahakama au parokia kuwa ndio haki ya wahusika.

Tofauti ya Parokia na Mahakama ya kadhi ni maswala wanayoshughulikia ktk ibada hizi. Kwa Waislaam maswala mazito ya Kijamii (Personal matters) hutolewa settlement na mahakama hizi wakati wakristu maamuzi ktk maswala haya tayari yamekwisha jengwa ktk mfumo wa Kisheria tunaoufuata..inakuwa vipi vigumu kwa Maaskofu kuliona hilo!
Hivyo, inawezekana kabisa serikali yetu kuchukua baadhi ya sheria kama zilivyo za wakristu ndani ya sheria na maamuzi ya mahakama za Madai ambazo zimebeba maamuzi mengi kulingana na jamii hii nikiwa na maana WATU na MAZINGIRA..
Zipo sheria ambazo zinakubalika kwa Wakristu na wasiokuwa na dini, ila Magistarte court Act, inapo Indetify dini moja kuwa sheria zake zimekuwa restricted ndipo utata unapoanzia. Kwani hiyo Act haikusema kutoitambua mahakama ya kadhi isipokuwa kutotambua na kuzuia matumizi ya yoyote ya sheria za kiislaam..

Hii ndio point wangesimama nayo kuonyesha kwamba sii swala la mahakama ya kadhi isipokuwa MCA kuwqeka wazi kwamba ina restrict matumizi ya sheria za kiislaam hivyo hata wakiunda baraza lao wenyewe kama Parokia halitaweza kutambulia kama inavyotambuliwa Parokia..

Upande wa pili wa shilingi inasikitisha sana kusoma Asokofu akisema kwamba:-

Waislamu kama wanataka, wanaweza kuanzisha Mahakama ya kadhi bila ya kuihusisha Serikali." Wana uhuru wa kuendesha mambo yao kwenye taasisi zao yanayoendana na masuala ya kiroho bila kuishirikisha Serikali.

Maneno haya ni dharau ya wazi kabisa...kwa sababu kuna maamuzi mengi ya Kidini yamefikiwa kwa kuihusisha serikali kaa vile sisi sote tunachukua Jumamosi na Jumapili kama siku ya Mapumziko kwa sababu ni siku ya ibada za Kikristu.. waislaam hawajadai kuondolewa kwa haki hilo ya ibada ama kutoihusisha serikali ati waktaka kwenda kusali wakasali kama sisi waislaam tunavyokwenda siku ya Ijumaa ambayo inatambulika kama siku ya kazi na Waislaam hulazimishwa kwenda kazini (kikatiba) hata wakati wa Ibada zao.

Wakristu wanasherehekea siku ya kuzaliwa na kufa kwa Yesu na serikali imeifanya kuwa Public Holiday lakini Waislaam hawawezi kuzua madai kwa misingi ya kufananisha kila kesi na Wakristu wakati vitu hizi vina uzito topfauti ktk kila dini au shehebu.. Kila dini ina umuhimu wa maswala la siku zake tofauti na dini nyingineyo huwezi kusema kama sisi tuna Parokia basi waislaam nao waanzishe parokia wakati hivi vyombo havifanani kabisa.. Parokia sii part ya ibada ya Kikristu ila ni sehemu ya utawalka wa Kikatoliki..

Nina hakika kabisa kama mahakama ya kadhi ingeitwa jina jingine mathlan - Baraza la Usuluhishi, wakristu wasingekuwa na tatizo kabisa wakati hoja ya msingi sio jina la chombo hiki isipokuwa sheria zinazotakiwa kutumika..
Hivyo ukisoma maelezo yote ya Askofu hakuna sehemu ameeleza kwa nini anapinga matumizi ya mahakama ya kadhi nje ya kuona Uislaam ukihusishwa na serikali. Kihs madai kwamba wao wana mahakama zao kuanzia ngazi ya Parokia hadi Roma.. je kuna Mkristu gani alipeleka madai yake kwa Parokia na akakata rufaa hadi Roma.

Utaratibu wa kanisa Katopliki hauwezi kutumika kote sii kwa Wakristu wote wala wananchi wote..kwani Waislaam hawana Roma yao hawana kesi inayoweza kwenda nje ya mipaka ya nchi wanayoishi.. Uislaam ni dini sio nchi au taasisi inayowaongoza waumini kwani mwongozo kwao ni Kuran.. Tofauti hizi ndizo zinazotupa sisi maamuzi ya kuchagua dini uitakayo, na laukama Uislaam wangekuwa na Roma au Pope, mimi nisingekuwa Muislaam...Ikiwa Mkrisdtu anaweza kwenda kizimbani kanisani akatubu akasamehewa hapa duniani na Akhera hii sii mfano mzuri kwa Muislaam au Mkristu mwenye imani tofauti na kutii nguvu ya Parokia na Roma kiroho..

Ndoa, mirathi na mengineyo ya part ya ibada ya Waislaam.. Kufanya lolote kinyume cha walivyoamriwa ni kupotoza ibada. Kufanya lolote kinyume cha matakwa ya dini kunaweza kumtoa muumini ktk Uislaam akawa hana tofauti na kafir..Ni muhimu sana Askofu huyu aelewe kwamba Muislaam asiyefuata sheria za ndoa na Mirathi hukiuka matakwa ya dini ktk ibada hiyo, na haiwezekani kabisa Bakwata au chombo chochote kutoa maamuzi mazito ambayo hayatambuliwi kisheria..Kuna faida gani?

Mwisho msingi wa kutokubaliana na mahakama ya kdhi ungejengwa kulingana na Jamii yetu na sio dini zetu..Je, Waislaam wanafuata ibada hizi? jibu lake ni hapana. Ndoa nyingi za wananchi ni kinyume cha mafundisho hivyo huwezi kuchukua part ya Ibada ktk usuluhisho ukasahau au kupuuza kilichotangulia.. hata kama ni Kusali Muislaam anatakiwa apate udhu kwanza kabla hajaingia msikitini hivyo ibada yake ipate uzito wa kupokelewa. Ni part ya ibada ya sala kwa Muislaam hatuwezi kusema waingie tu kama wakristu au vinginevyo kurahisisha matakwa yetu...

Waislaam nchini wana wake toka madhehebu mbali mbali wengine hata hawana dini..Waislaam nchini hawana Udhu ktk maswala ya ndoa mirathi na kadhalika hivyo huwezi ku settle matatizo ambayo kwanza hayakufuata misingi ya dini. na hao hao Mashekh wanafungisha ndoa hizi, wana vimada na watoto nje ya ndoa zao... Na hata yule Sheikh anayekataa kufungisha ndoa mtu anakwenda Halamashauri na ndoa ikakubalika..Je, hii mahakama ya kadhi itakuwa na kazi gani na itamhukumu nani haswa?.

Mara zote mahakama ya kadhi itafanya kazi tu kwa waumini wa kweli na hili haliwezekani nchini isipokuwa linawezekana tu ikiwa mwongozo unatngulia ndoa halali za kiislaam ambazo zinatambua uzito wa ibada hiyo.


Sawa Prof. Mkandara, umejaribu kuchambua na imetulia, ila hata kama kunawachache na katiba inawaruhusu kuwa na chombo kama hicho na wamedai ni wakati muafaka wa serikali na walioomba kukaa nakufikiria quencequence za kuwepo na kutokuwepo, cha msingi ni kuwa na utawala unaojali sheria na haki za raia wake bina kushinikizwa na upande wowote. Ndo maana mwanzoni nilisema hili suala lilikua linaendeshwa kishabiki kama yanga na simba, but now at least watu wameanza kua serious kiasi
 
Kwanza samahani mkuu U Prof. sina elimu yangu ni ya madrasa tu mkuu wangu na juzuu zote sikumaliza, fimbo zilinikimbiza.
Nakubalina na wewe sana tu kinachonitatiza mimi ni kwamba, hata huo ushabiki wa Yanga na Simba watu huanisha mchezo wenyewe kuwa ni wa miguu na washindani wanacheza mchezo mmoja.. Tatizo la hoja nzima ya Maaskofu imelenga kwamba hatuwezi kukubali Netball kwa sababu ni mchezo wa kike, lakini wametumia muundo wa chombo chao kama kigezo cha ubora wa mchezo wao...
Wakati mimi kama Muislaam hizi ndizo sababu (utaratibu wa ibada zao) zilizonifanya nisiwe Mkristu..
Sasa ukitazama upande wa Ushabiki, mimi kama mshabiki wa Simba kuna wakati ni lazima nikubali wanachemsha hata kama ndio damu damu...kinachofanyika Tanzania ni ushindani kati ya dini hizi mbili wakati nchi yetu haina dini mbili tu..Kuna wakati tunajisahau na kufikiria kwamba nchi hii imetokana na dini hizi tena niseme madhehebu haya tu, na ukiuliza utaambiwa ndizo dini kubwa..Sasa ikiwa (madhehebu) dini kubwa ndio tuseme mafundisho yao yapewe kipaumbele Kitaifa kuliko imani za dini nyinginezo ambazo pia zimepewa Uhuru kama wao?.Kwa nini wao wanakuwa wazungumzaji wakubwa wa imani za watu wakati matatizo yao wenyewe wanashindwa ku deal nayo..

After all kwa nini dini hizi kila siku zinashindana, lolote linalosemwa na kanisa litapingwa na viongozi wa Kiislaam na Waislaam vile vile watapingwa na kanisa..Haya yote yamekuja miaka hii 20 iliyopita wakati zamani nakumbuka tulikuwa sote ktk kila furaha na majonzi..Sikumbuki kabisa kumtazama rafiki au jirani yangu kama mkristu au adui yangu sii leo hii..
 
Last edited:
Nenda world CIA facts za Tanzania utaona kama siyo kweli. Kusema ukweli Waislamu ni wengi sana Tanzania ndio maana kunakuwa na tension kubwa sana Tanzania

Facts za CIA nafikiri wamefanya makusudi kuwazuga waislamu wa TZ. Waweza kufanya sensa yako kichwani. Waislamu wako mikoa ya Pwani tu na Zanzibar ukiongeza Tabora, Dodoma (Kondoa), Kigoma na Bukoba basi. Sehemu zingine ni wa kuokoteza.
 
No bullet can fight Islam and Muslim, 10 christians is equavailent to 1 muslims when it comes to real war" kwahiyo swala la vita we sahau hamtuwezi...kwasababu tunahitaji ratio 100:10 100 christians to fight with 10 muslims inatosha...
Ndugu usiongelee vita maana hizo si anga zenu...tuongelee issues na namna ya ku-solve kistaarabu bila kufika huko.....christian will be great lossers when it comes to war!

teh teh teh..makubwa haya wajameni!

Lets assume unayoyasema ni kweli kuwa wakristu 10 ni sawa na msilamu mmoja..Labda utusaidie mzayuni mmoja ni sawa na wasilamu wangapi? Maana takwimu zaonesha akiuawa mzayuni mmoja wanauawa wasilamu 100..

Bwa ha ha ha...!
 
Last edited:
Maaskofu wote wanaochochea vurugu za kidini wakamatwe na wawekwe ndani kwa usalama wa nchi. teh teh, kwani wao si serikali iweje waingilie mambo ya waislam na serikali, hawa jamaa hawaitakii nchi mema, washakula sana na sasa wamejisahau mpaka kuingilia mambo ya siasa kupitia mgongo wa mahakama ya kadhi, kuweni na huruma na watanzania, Nkunda amefanya mauji makubwa kongo kwa kujifanya yeye ni mchungaji anatetea maslahi ya wanakongo, kumbe uongo mtupu, Pinda maaskofu wasikuyumbishe tumia busara kuinusuru nchi.

Mchindwe maaskofu msio na huruma!!!!!!!!!!!!

Great Thinker akitoa maoni.lolz
 
Mahaka ya kidini itakuwa ya waislamu pekee au! kama ni waislamu pekee ni kwa nini wanahitaji serikali?. Tanzania haitaweza kuweka sheria za dini kwani nchi yetu imegawanyika sana
 
Maneno haya ni dharau ya wazi kabisa...kwa sababu kuna maamuzi mengi ya Kidini yamefikiwa kwa kuihusisha serikali kaa vile sisi sote tunachukua Jumamosi na Jumapili kama siku ya Mapumziko kwa sababu ni siku ya ibada za Kikristu.. waislaam hawajadai kuondolewa kwa haki hilo ya ibada ama kutoihusisha serikali ati waktaka kwenda kusali wakasali kama sisi waislaam tunavyokwenda siku ya Ijumaa ambayo inatambulika kama siku ya kazi na Waislaam hulazimishwa kwenda kazini (kikatiba) hata wakati wa Ibada zao.

Wakristu wanasherehekea siku ya kuzaliwa na kufa kwa Yesu na serikali imeifanya kuwa Public Holiday lakini Waislaam hawawezi kuzua madai kwa misingi ya kufananisha kila kesi na Wakristu wakati vitu hizi vina uzito topfauti ktk kila dini au shehebu.. Kila dini ina umuhimu wa maswala la siku zake tofauti na dini nyingineyo huwezi kusema kama sisi tuna Parokia basi waislaam nao waanzishe parokia wakati hivi vyombo havifanani kabisa.. Parokia sii part ya ibada ya Kikristu ila ni sehemu ya utawalka wa Kikatoliki..

we Mkandara ni mtu hatari sana (sorry to say that) ukweli ndiyo huo. umh...
 
Kamundu,
Mkuu wangu Bakwata ni chombo cha Waislaam kilichoanzishwa na serikali kwa waislaam pekee..Hamkupinga hilo..
Baraza hilo liko chini ya Mufti ambaye ni chaguo la rais kwa Waislaam...Hamkupinga pia..
Na kibaya zaidi ni kwamba kodi zetu zinatumika kuliendesha baraza hilo toka lianzishwe sijui miaka mingapi leo hii wakiiba fedha za hata wananchi wanaotaka kwenda Kuhijj..

Haya, hiyo Mahakama ya Kadhi ni kitengo cha Baraza hilo la serikali kwa waislaam na kama mnavyoona wasemaji wakuu ni viongozi wa Bakwata ambao wanatambuliwa na serikali..hapa mnaona Utata wa serikali hiyo hiyo kushirikishwa na kitengo hiki.
Hivi kweli hamuoni mnavyojigonga jamani?..

Kataeni mahakama ya kadhi kwa sababu zinazohusiana na kazi zake iwe hizo settlements zenyewe, utaratibu wake ama jambo lolote lile ndani ya uongozi wa chombo hicho na sio kukataa tu jina Mahakama ya kadhi, mnaonekana mna Udini jamani hamsikii!..

Nina hakika kama Bakwata wangeunda chombo hiki hiki na kukiita Baraza la wasuluhishi sidhani kama mngeweka shaka wakati waislaam wangeendelea kuathirika na baraza hilo ikiwa sababu zipo na hamtaki kuziweka wazi..isipokuwa kinachowawasha ni hili neno Mahakama ya kadhi ndio linawasumbua sana ktk ndimi zenu (udini)..
Ni mategemeo yangu kwamba hata kama Waislaam au niseme Bakwata wangesema wananzisha Baraza la Wasuluhishi mngepinga kwa sababu ya kazi zake na sio kutumia hizi sababu za serikali kuhusishwa wakati mnajua fika kwamba serikali ipo nyuma ya kila jambo linaloendeshwa na baraza la waislaam (Bakwata).
 
Last edited:
Back
Top Bottom