Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Kumbe matatizo yenu ya kutotumia ubongo bado yapo!!! Nilifikiri baada ya wamissionary kuwaelimisha na kuwasaidia mpate elimu dunia mngebadilika na kuwa na mawazo ya kidunia lakini bado mmebaki kule kule!!!! Poleni sana. Wenzenu duniani wanafikiria jinzi ya kutafuta maendeleo na kufanya utafiti wa kwenda mwezini, nyie mmebaki kudai kitu ambacho mkiulizwa faida zake au hasara zake mnazokosa kwa kutokuwepo hamkijui!! Poleni sana. Nawatakia kilio chema kwani hiyo kitu NEVER on TANZANIA. Byeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, ngoja nifanye kazi za maendeleo
Elimu ya ki-missionary haijawahi kumsaidia yeyote..hali imezidi kuwa mbaya hasa kwa Tanzania MAANA inafundisha watu kwa MAFISADI na kwa kuwa Maaskofu wao wamezoea vya bure na kunyang'anya, mungu aipushe elimu hiyo kwa vizazi vijavyo...
Sijui unaposema NEVER una maanisha nini? I gues ni Mahakma ya Kadhi...kama ndivyo "YOU CANNOT RESIST" so jinyonge????
 
Elimu ya ki-missionary haijawahi kumsaidia yeyote..hali imezidi kuwa mbaya hasa kwa Tanzania MAANA inafundisha watu kwa MAFISADI na kwa kuwa Maaskofu wao wamezoea vya bure na kunyang'anya, mungu aipushe elimu hiyo kwa vizazi vijavyo...
Sijui unaposema NEVER una maanisha nini? I gues ni Mahakma ya Kadhi...kama ndivyo "YOU CANNOT RESIST" so jinyonge????

Tumaini, hii elimu kimissionary inavyofundishwa afrika tofauti na huku ulaya kaka, manake afrika karibu yote inanuka ufisadi, wamissionary wametuweza kwelikweli, mungu saidia kizazi kijacho kiepukane na baa hili baya la elimu
 
Tumaini na wachangiaji wengine!

Kwanza kabisa nawapa hongera sana kwa kuchangia mada hii motomoto na yenye faida kwetu sisi na vizazi vijavyo,lkn bado sijaelewa jambo hili moja;

"Kama serikali itaamua kurudisha mahakama ya kadhi,ifanye hivyo kwa kutumia fungu gani la BAJETI toka hazina ya Tanzania?"

Nawasilisha hoja waungwana,asanteni sana
 
Asanteni sana kwa michango yenu wote ktk mada hii motomoto ya mahakama ya kadhi,kwa kweli nimejifunza mengi sana hapa kuhusu jambo hilo.

Lkn hadi sasa bado kuna kitu kinanitatiza sana kuhusu mahakama ya kadhi hasa na urudishwaji wake;

"Je kama seriali itakubali kurudisha mahakama ya kadi,gharama za uendeshaji zitafadhiliwa na serikali kuu kupitia HAZINA ikitenga fedha kutoka sehemu gani ya wizara ndani ya BAJETI ya serikali"?Na kama mahakama hii ikirudishwa ni vyema kutumia fedha za watz wenye mchanganyiko wa madhehebu?

Nawasilisha swali hilo maana sijaona anayenieleza wapi serikali kuu kupitia fedha za hazina itatenga fedha hizo!
 
Tumaini na wachangiaji wengine!

Kwanza kabisa nawapa hongera sana kwa kuchangia mada hii motomoto na yenye faida kwetu sisi na vizazi vijavyo,lkn bado sijaelewa jambo hili moja;

"Kama serikali itaamua kurudisha mahakama ya kadhi,ifanye hivyo kwa kutumia fungu gani la BAJETI toka hazina ya Tanzania?"

Nawasilisha hoja waungwana,asanteni sana
Mimi siwezi kusema fungu lipi....sheria MyK ikirudishwa nafikiri wataalaum wa wizara husika kwa kushirikiana na masheikh wata establish fungu...lipi litumika?
Si lazima kuanza kutumika imediately inaweza kuanza mwakani wakati serikali ikiombea budget...waislamu ni wavumilivu hawana haraka kama za maaskofu (kumbuka issue ya misamaha ya kodi walitaka kuua mtu)
Anyaway mimi si msemaji wala mtaalamu wa Bakwata..ila ni kati yawaumini wa Tanzania wenye hamu kubwa na MyK...(nina wake wawili halfu mahakama zetu zinagawa visivyo mirathi yetu balaa sana...
 
Tumaini na wachangiaji wengine!

Kwanza kabisa nawapa hongera sana kwa kuchangia mada hii motomoto na yenye faida kwetu sisi na vizazi vijavyo,lkn bado sijaelewa jambo hili moja;

"Kama serikali itaamua kurudisha mahakama ya kadhi,ifanye hivyo kwa kutumia fungu gani la BAJETI toka hazina ya Tanzania?"

Nawasilisha hoja waungwana,asanteni sana

Fedha zinazokwenda shule za makanisa kutoka serikalini hutumia fungu lipi la bajet? jee mmeshajiuliza hilo?
 
Bakwata inabidi muanzishe Muslim state. Zipo njia nyingi za kufanya hivyo; ni kujitenga, kwa kuanzisha maandamano ya Mapinduzi. Bakwata anzisheni Maandamano. Is time for new REVOLUTION.
 
Bakwata inabidi muanzishe Muslim state. Zipo njia nyingi za kufanya hivyo; ni kujitenga, kwa kuanzisha maandamano ya Mapinduzi. Bakwata anzisheni Maandamano. Is time for new REVOLUTION.

Mi nna wazo zuri zaidi..

NCHI IUZWE NA KILA MTU APEWE CHAKE.
 
...
Wakati huohuo, katibu wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda amesema maandamano ya amani waliyopanga kuyafanya Ijumaa wiki hii, yatafanyika kama yalivyopangwa....“Hakuna kitakachotubadili msimamo wetu. Sisi tunafanya maandamano hayo ya amani kuonyesha hisia zetu na kitu gani ambacho Waislamu tunahitaji,” alisema.
......
Naye Katibu wa Kamati Maalum ya Kutetea Mali za Waislamu, Sheikh Khalifa Khamis alisema maandamano hayatakuwa na maana kwa sababu suala hilo limeshazungumzwa na masheikh na serikali.
“Mimi nipo pamoja na Mufti kwa kuwataka Waislamu wawe na subira kwa kuwa hivi sasa anayesubiriwa ni Mufti kuipeleka timu yake kwa waziri wa sheria,” alisema.
Ha ha haaa!!! Mmoja ni Katibu wa Kamati mwingine ni Katibu wa Kamati Maalum, wote wanashughulikia kitu kimoja(Kutetea Mali za Waislamu), hivi vyeo vingine ni kutaka kula hela tu, sasa ukiangalia hapo tofauti ni neno "Maalum" tu. Mbaya zaidi kila mmoja ana msimamo wake, vurugu itakosekana hapo kweli?!
 
Mahakama ziundwe na ziendeshwe na zinazowahusu kwa gharama zao! Kesi ya Muislamu isiendeshwe na JOHN na JOHN asiigharamie!
 
Jamani waislam wenzangu hamkunyimwa kuanzisha mahakama ya kadhi,ila muanzishe muisajili kwa serikali muendelee na mambo yenu ila si serikali ianzishe wkati serikali haina dini na viongozi wake wanatoka kila upande wa kiimani.Serikali ingekuwa ya kiislamu sawa ingeanzisha.Muwe waelewa tu wa hili jambo na mtumie busara huko kuchoka kuonewa mnakosema Je? mnaonewa na nani?
 
Kwenu mawakala wa Kanisa ndani ya JF,

Kawaambieni hao maaskofu kuwa wao ni chui wa karatasi tu. Hawawezi kufanya lolote. Wanachoweza ni kuitisha serikali tu iliyojaa mawakala wake. Baada ya kupuuzwa vya kutosha waislam wameamka. Katika suala la kadhi, vijana na waislam wote nchi nzima wanasubiri maelekezo juu ya nini cha kufanya.

Nasema na kurudia kuwa si maaskofu wala mawakala wao popote walipo wanaoweza kuuzima moto huo.

Tisicheze na amani kwa chuki za kijinga.
 
Kwenu mawakala wa Kanisa ndani ya JF,

Kawaambieni hao maaskofu kuwa wao ni chui wa karatasi tu. Hawawezi kufanya lolote. Wanachoweza ni kuitisha serikali tu iliyojaa mawakala wake. Baada ya kupuuzwa vya kutosha waislam wameamka. Katika suala la kadhi, vijana na waislam wote nchi nzima wanasubiri maelekezo juu ya nini cha kufanya.

Nasema na kurudia kuwa si maaskofu wala mawakala wao popote walipo wanaoweza kuuzima moto huo.

Tisicheze na amani kwa chuki za kijinga.

Bua ha ha..Makubwa haya wajameni..

Huu munkari wote kisa dini? Dini si inapaswa kuwa shule ya kupika UPENDO? au ?
 
tuweke rekodi vizuri; Shehe Mkuu Mufti Simba amewataka Waislamu nchini kuwa na subira wakati serikali inaendelea kutafuta ufumbuzi wa suala la uundwaji wa mahakama ya kadhi. Ametoa ufafanuzi huo baada ya mazungumzo na Waziri Mkuu ambaye aliwahakikishia viongozi wa Waislamu kuwa kimsingi serikali haijakataa mahakama ya kadhi bali inahitaji ushauri wa kutosha wa jinsi gani iundwe na kuendeshwa.

Kwa mujibu wa Mufti, kutaundwa jopo la mashehe ambao watakutana na kushauri ni jinsi gani mahakama hiyo itaanzishwa na kuendeshwa nchini.

Hivyo, habari za awali kuwa serikali imekubali na itagharimia mahakama hizo si za kweli. Hadi hivi sasa uamuzi uliofikiwa ni ule ule wa kusubiri kutafuta ufumbuzi wa uundwaji wa mahakama hiyo kama ilivyo katika ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2005-2010.

Kweli MKJ, hata yule shehe aliyetangaza kwenye chanel 10 amemwomba radhi Mufti kwa kutoa habari ambazo si za kweli na hata na hivyo yeye si mtoa habari wa BAKWATA. Mufti amesisitiza kuwa yeye tu ndo mtoa habari na si mwingine. Si how there is disorganisation here. Kinachonishangaza, huyo jamaa alipokuwa anatangaza pale chanel 10 nukiwa na msikiliza alisisitiza mara kama 5 kwamba KUBWA LAKE katika mukutano na waziri mkuu ni kuwa serikali imeridhia kuanzishwa kadhi. Sasa sielewi inakuwaje tena si sahihi. Sth is very wrong somewhere or sth is being hidden.
 
Ndugu zangu waislaam hii kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi ni ngumu labda Serikali wafanye mabadiliko kwenye katiba ya nchi la sivyo ilikuwa danganya toto ya ILANI YA CAHAMA TAWALA. Uganda na Kenya wanayo coz ipo kwenye ILANI, Na je BAKWATA wapo tayari kwa hilo??

Ni Maoni yangu tu.
 
Hivi ni kweli?
Sio kwamba ni katika harakati za kuwin mioyo ya watanzania wanaounga mkono suala hili la mahakama ya kadhi? Kwa nini suala hili halikushughulikiwa na kutolewa kauli hii mapema kabla ya sasa? Nini kilikuwa kinachelewesha serikali kuamua hili (na mengineyo ambayo imekuwa ikisita sita kuyafanyia maamuzi?

sijui ila 2010 hiyo hapo na hakika CCM itashinda!
 
Kama walipa kodi wakubwa ni waislamu, na kama TRA inategemea zaidi waislam, Basi ingekuwa hao wanaotaka mahakama ya kadhi waanzishe kwa mipango yao na hao matajiri wakubwa waislamu wataisadiia kuiendesha kwa kuwalipa mahakimu wao. That is simple solution.

Hospitali za Mission zote Tanzania hii hazibagui wagonjwa, na ndizo zinaaminika kwa huduma nzuri kwa watu wote wanaokwenda huko. Nenda Peramiho, Nenda KCMC, Nenda Ipamba ( Tosamaganga) nenda Ndada, utakuta vijana kwa wazee wa dini zote wamepanga foleni wanasubiri huduma. Na hakuna ubaguzi. Hivyo usijaribu kuringanisha hiyo mahakama ya Kadhi na hospital kama kweli umesoma.

Ushauri wangu tumieni hiyo elimu mliyosoma shule hizo hizo za Mission vizuri kwa kuwashauri wengine ambao elimu imepita pembeni waelewe umuhimu wa Serikali kutokuwa na dini.!!! Hii hali ya kutokuwa na dini ndiyo inawapa uwezo watanzania kujivunia AMANI iliyopo.

Well nadhani Muheshimiwa hujajibu huja yangu ila tu umeleta ushindani usio na maana yeyote mie ninakatwa kodi katika mshahara wangu na kuna hospitali za kiislamu kibao hazipelekewi misaada na serikali badala yake bosi akienda kanisani anasema kuwa wizara itatoa milioni 40 je hizo pesa nani amemruhusu kutoa???? na isitoshe unaambiwa uandae malipo ya baba askofu fulani atakuja ofisini kuchukua cheki hivi tutafika kweli. Ile kodi ninayokatwa mie muislamu nikubaliane nayo tu hivihivi (sidhani!!!!).

Mie nadhani wakati umefika tuwekane sawa A. Tanzania ni ya watanzania na sio wakristo hivyo basi tuheshimiane na sio kunyonyana. Nikirudia maneno ya Obama jana alisema nchi yeyote duniani inaoongozwa kwa misingi ya ubabe na unyonyaji haiwezi kuwa na muda mrefu madarakani.(kwa mwendo huu ccm ina muda mfupi sana) b. Mahakama ya kadhi ni haki ya waislamu hakuna muislamu anayekubali au kufurahia dini yake ikichezewa let alone ikiongozwa na mtu si muislamu. hilo ni jambo ambalo halikubaliki na halitakubalika na jamii hata mligeuze vp c. Katiba si kitabu cha dini (wala si quran) hivyo kabisa kauli za maaskofu kuwa serikali iheshimu katiba sidhani kama ni sahihi kwani katiba imetungwa na binaadamu na hivyo basi ina mapungufu ambayo yanaweza kurekebishwa na kufanyiwa marekebisho na si eti katiba iheshimiwe kwani waliounda katiba ni sisi wananchi hivyo tunaweza kuirekebisha vilevile (To me hoja ya maaskofu is irrelevant and rediculous) d. Mwisho kabisa mpendanchi umetumia kauli si nzuri but sikulaumu mara nyingi ukitawaliwa na jazba kama walivyo wenzio wengi hoja hukosekana na mwishowe mtu huripuka tu kujibu hivyo basi kaa chini ufikiri kabla hujajibu elimu za madarsa ndio ziliounda elimu ya leo duniani mfano mzuri wewe unahesabu 1-10 (algebra) hiyo imetoka katika uislamu mwanzoni hata kuhesabu wakristo mlikuwa hamjui let alone kusoma. Acha kudharau waislamu wewe tutakuchana kwa hoja ohh!!!.
 
Nadhani unajua Kenya, Uganda, UK nanchi nying kama hizi waislam wapepewa fursa kuanzisha Mahakama na serikali inalipia kulikoni Tanzania? hii isue imeshaelezwa kirefu tu, kinachotokea hapa niwakristo na serikali kuwafanya waislam kama second class citezen, we need changes, now is camming. kaa mkao wa kula.
Duh, kazi ipo kweli kweli. Ndo maana wanasema uwezo wa mtu wa kufikiri usitofautiane na kiwango chake cha elimu.
 
tuweke rekodi vizuri; Shehe Mkuu Mufti Simba amewataka Waislamu nchini kuwa na subira wakati serikali inaendelea kutafuta ufumbuzi wa suala la uundwaji wa mahakama ya kadhi. Ametoa ufafanuzi huo baada ya mazungumzo na Waziri Mkuu ambaye aliwahakikishia viongozi wa Waislamu kuwa kimsingi serikali haijakataa mahakama ya kadhi bali inahitaji ushauri wa kutosha wa jinsi gani iundwe na kuendeshwa.

Kwa mujibu wa Mufti, kutaundwa jopo la mashehe ambao watakutana na kushauri ni jinsi gani mahakama hiyo itaanzishwa na kuendeshwa nchini.

Hivyo, habari za awali kuwa serikali imekubali na itagharimia mahakama hizo si za kweli. Hadi hivi sasa uamuzi uliofikiwa ni ule ule wa kusubiri kutafuta ufumbuzi wa uundwaji wa mahakama hiyo kama ilivyo katika ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2005-2010.
Mkuu asante kwa info, ila naona kama hazitofautiani sana na za GT kasoro yeye Gt hakuelezea kama ulivyoelezea na pia ameongezea swala la nani atagharamia, ila kimsingi kama ulivyosema serikali haijakataaa kuanzisha mahakama ya kadhi so kwa maana nyingine imeridhia kuanzisha mahakama hiyo ila kilichobaki ni implimentation na kwenye hilo ndo maana imeundwa tume ili wajadili ni jinsi gani hiyo mahakama itavyooperate.
 
Back
Top Bottom