ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
Usitishe watu wewe.amekufa amekufa tuu alifikiri atatawala milele asife??Mungu ametusaidia Sana.ngoja tupumue tutafute hela unazosemaNakukumbusha tu kuwa hata uwe mwema sana kuliko huyo unaemtukana kwenye hii comment yako,ardhini utaingizwa tu maana huko hapachagui, kwahiyo me sioni kama kifo kinaweza kutumika kama sababu ya wewe kujifariji.
Hapo ulipo huenda utakufa leo usiku wakati umelala,yes utakufa leo mkuu.
La msingi ni kutafuta pesa Ili kesho ikifika walau usizikwe kama mbwa, uzikwe kwa heshima kama huyo unaemtaja hapo.