Mfuate kaburini ili umpongeze kisawa kisawa
Arudishe rambirambi na matrilion ya hazina aliyoiba. Sasa hivi anachezea vitasa vya hatarii huko kuzimu.Ama kweli majuto ni mjukuu, kama tungejua mapambano yako yangetufikisha hapa basi tungepinga harakati zako zote. Tungekubali kukaa katika maisha yale lakini siyo haya uliyotuachia.
Mungu akurehemu Rais wa kweli uliyewahi kutokea Tanzania. Tutaonana baadae.
Mfuate kaburini ili umpongeze kisawa kisawa
Arudishe rambirambi na matrilion ya hazina aliyoiba. Sasa hivi anachezea vitasa vya hatarii huko kuzimu.
Onana naye kivyako huko!
Wewe na yeye,... Sabaya , Sylvia Mamkwe (Mganga Mkuu wa Temeke)Popote alipo, woote Manzi ga Nyanza! mnastahili Moto wa milele! alimteka tajiri wetu, akaua hovyo, kina anzoli gwanda familia yake inataabika mpaka leo!Mungu akurehemu Rais wa kweli uliyewahi kutokea Tanzania. Tutaonana baadae.
Vitasa vya shetani!! simple tu! hanaga urafiki yule! ukiingia kwenye kumi na nane zako utajua kweli aliwahi fukuzwa juu!vitasa gan tena mzee wakati kesi ya mbowe haijaisha
Vitasa vya shetani!! simple tu! hanaga urafiki yule! ukiingia kwenye kumi na nane zako utajua kweli aliwahi fukuzwa juu!
Yaani mkubwa mbona! sisi huko mbona tunaenda na kurudi! tu! hakuna siri tena siku izi! hata wewe ukitaka leta details tu, ni rahisi mnooo! ila usiwe ki-roporopo! km ukiwa!... dawa yake ni kuto rudi Duniani tena! ma-Lango makuu kwa tanzania yako manne ila ntakwambia kwa kifupi sanakwan ulimwona huko dogo?
Kwa kuwabana mafisadi ChademaPolisi wakichukua tuhela ni twa kupigia kiwi viatu. Hapo anahalalisha rushwa kwa trafiki
Yaani mkubwa mbona! sisi huko mbona tunaenda na kurudi! tu! hakuna siri tena siku izi! hata wewe ukitaka leta details tu, ni rahisi mnooo! ila usiwe ki-roporopo! km ukiwa!... dawa yake ni kuto rudi Duniani tena! ma-Lango makuu kwa tanzania yako manne ila ntakwambia kwa kifupi sana
Kigoma
Lindi..
lingine liko DSM hapo! yaliyo baki ni siri labda ujisajili!