Ni mifumo miwili tofauti ya maarifa, hapo kuna tautology gani sasa, au umekimbilia kulinganisha mifano ulivyokariri tu?
Huu mfano wako unaonyesha ni jinsi akili yako ilivyo finyu kwenye kuchambua lugha, kama nikiulizwa sayansi ya siasa ni nini? na nikajibu ni sayansi inayochunguza mifumo ya utawala, hapo nitakuwa nimetumia neno lilelile, hiyo itakuwa ni fallacy? Hapana! Kwa sababu sayansi ni broad category na siasa au uchawi ni matawi maalum ndani ya hilo kundi.
Rudi darasani ukajifunze jinsi ya kufanya classification of concepts kabla ya kuleta mifano ya kitoto hapa.