KanyeWest_Tz
Senior Member
- Jul 18, 2026
- 162
- 321
Njoo pm nikupe madini namna ya kuwashika watuAsante mtoa maoni
Sasa kama uchawi haupo hayo matatizo yanayohusanishwa na uchawi hua ni saikolojia tu sio?
Njoo pm nikupe madini namna ya kuwashika watuAsante mtoa maoni
Sasa kama uchawi haupo hayo matatizo yanayohusanishwa na uchawi hua ni saikolojia tu sio?
Vitu kama hivi huoni kama ni matatizo ya akili sasa hapo kuna kitu gani cha furahisha kwa mtu alie timamu ?(kama kweli wanaweza kufanya hayo)Sio lazima mchawi awe na jini muda wote,ila kuna mambo ambayo jini anatakiwa awepo
Mchawi anapata raha ya kuona wewe hufanikiwi au unapata shida hapa duniani,ndio raha yake hiyo
Kuna ishu nyingine inatia raha pia,mfano wenyewe wanakwambia hukaa barabarani na kuwazingua watu tu,ndio unaona umesimamisha basi hapa linaenda kusimama kule mbele,ni kazi yao hiyo sometime wana have fun
Hivi humu hakuna mchawi atueleze kuhusu haya maumbo ya kichawi ?Wakati wa mapatano wanakuwa live,wanakuwa kwenye ukimwengu wa kichawi ,huenda wasiwe kwenye umbo lao halisi lakini wanakuwa kwenye maumbile ambayo wenyewe wanajua
Shukran wakati ukifikaUpewe platinum, umekua ukijitajidi sana kuandika nondo siku za karibuni
Homie huoni huoni tatizo lilianzia kwenye kuelekezwa ?Wakati wanaelekezwa kwamba huu ni uchawi ataye jifunza hataona ufalme wa Mungu,je haikutosha kuwa ni onyo?
Kwa maana hiyo wakati unasoma vitabu vya dini hupaswi kuamini kila kitu unapaswa kujichagulia baadhi?Sio kila kitu ambacho kimetajwa kwenye vitabu vya dini ni cha kweli.
Vitabu vya dini vimetaja uongo mwingi sana ambapo uchawi nao ni mojawapo ya uongo huo
Hongera sana kitendo cha kuamini mauza uza yana anza hapo hapoKatika maisha yangu, sjawahi kuamini kama uchawi upo
Kwa maana hiyo wakati unasoma vitabu vya dini hupaswi kuamini kila kitu unapaswa kujichagulia baadhi?
Kwahiyo uchawi unatengenezwa kwenye akili ya mtu sio?Uchawi upo kama ukiamini kuna uchawi pia uchawi haupo kama huamini kuna uchawi.
Nataka kujua kuhusu huu uchawi mweusi naomba ufafanuzi hapa hapa kwa faida ya memberKuhusu uchawi kuna aina mbili za uchawi, uchawi mweupe na uchawi mweusi.
Uchawi mweusi ni nguvu inayotokana na mashetani,majini wabaya, mizimu n.k
Toa darasa pia kuhusu uchawi mweupe mkuu usibaki na maarifa peke yakoUchawi mweupe ni nguvu ambayo inatokana na asili, akili n.k
Kupata uchawi mweupe ni ngumu inahitaji kuanzia miezi 6 na kuendelea ila uchawi mweusi ni rahisi siku moja tu unakuwa na nguvu hizo
Sawa asante kwa maoni karibu tenaSaikolojia
Elevenn naomba usiniharibie uziNjoo pm nikupe madini namna ya kuwashika watu
Haya naomba unisamehe sitarudia tenaElevenn naomba usiniharibie uzi
Nenda chitchat please 🙏
Wewe kama ni mtu wa dini unaamini miujiza ya ma nabii Mf : Musa kupasua bahari ya shamu kwa fimbo yakeHutakiwi kuamini chochote bila kuchanganya na akili zako. Mfano kitabu cha dini kinasema nyoka anaongea, nyoka anakula mavumbi, punda anaongea, mtu anapaa.. farasi ana mabawa anapaa kwenda mbingu ya saba,, mambo kama hayo unapaswa kutumia akili yako kujua kwamba sio ya kweli bali ni uongo uliopo kwenye vitabu vya dini
Sawa mkuu wewe una imani ya uchawi?Uchawi ni suala la kiimani tu. Shida ni kwamba imani za kijadi zimetengenezewa taswira mbaya na historia ya ukoloni.
Kuamini kwamba damu ya Yesu imekuponya na kwenda kwa mganga hakuna tofauti ukifikiria. Kote ni kutafuta miujiza.
Imani ni kama miwani. Tunaitazama dunia kupitia imani zetu. Kwahiyo kila mtu anoana kwamba imani yake ni halisi.
Hapana aiseeSawa mkuu wewe una imani ya uchawi?
File lako lipo ShesRise_1Sawa mkuu wewe una imani ya uchawi?
Wewe kama ni mtu wa dini unaamini miujiza ya ma nabii Mf : Musa kupasua bahari ya shamu kwa fimbo yake
YESU kutembea juu ya maji ?
Kwanini huamini kama farasi alipaa kwenda mbingu ya saba ?
Na mengine yanayo fanana na hayo
Mo nilidhani ukiamua kuamini kitabu unaamini completely kumbe sivyo
Hutaki kuvaa kaniki😁Hapana aisee