Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 5,045
- 4,701
The vice versa is true. Ni SA ndio walikopi toka TZ.Huenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Pia kuna mwingine tulikuwa tunaimba shule ya msingi, huu ni wa kuisifia zaidi unaimbwa hivi;Upo mwingine pia wa kizalendo, sikumbuki 'title' yake.
AHAAAA: Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote---
Watunzi wa nyimbo hizi wanastahili tuzo na heshima ndani ya nchi yetu.
Anayejuwa watunzi na historia ya nyimbo hizi, tafadhali simulia.
Uzalendo namba moja unaanza kwa kuwa na wimbo wa taifa uliotungwa na sisi wenyewe, sio wimbo mtumbaPia kuna mwingine tulikuwa tunaimba shule ya msingi, huu ni wa kuisifia zaidi unaimbwa hivi;
"Tanzania Tanzania, nchi yenye mali nyingi... Watu wengi wa ulayaaaa wanaililia sana, niliona ndege wengi...chini wametia fora...walinipendeza mlio kama mtoto wa nyumbani...Ngooorongoro ile ngoorongoro ile ngoorongoro ileee ngoorongoro ileee.."
Sijui ndo hivi
Tazama ramani ni bonge la wimbo! Na una sifa zote za kuwa wimbo wa Taifa la Tanganyika! Sema tu unatakiwa pia kufanyiwa maboresho kwenye mashairi yake! Kusiwepo mstari wowote ule wa kutaja majina ya viongozi! Sijui Nyerere, sijui Karume!!Huenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Kwani TANZANIA na South Afrika, ipi Hasa ilianza kupata Uhuru???Huenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Well said brotherTazama ramani ni bonge la wimbo! Na una sifa zote za kuwa wimbo wa Taifa la Tanganyika! Sema tu unatakiwa pia kufanyiwa maboresho kwenye mashairi yake! Kusiwepo mstari wowote ule wa kutaja majina ya viongozi! Sijui Nyerere, sijui Karume!!
Tena kama huyo Karume ndiyo hatakiwi kabisa kutajwa! Maana tayari Zanzibar wana wimbo wao wa Taifa.
Kiukweli hui wimbo wa sasa hauna mvuto! Eti Mungu ibariki Afrika! For what!! Wimbo wa Taifa uiongelee Tanzania tu na watu wake.
Ilianza Tanzania 🇹🇿, lakini wakati sisi tunapata uhuru kule Afrika Kusini wimbo huu ulikuwa tayari ni wimbo wa watu weusi wakiliimbia taifa lao.Kwani TANZANIA na South Afrika, ipi Hasa ilianza kupata Uhuru???
Tuanzie hapo .
Wimbo ulitungwa Afrika Kusini na Enoch SentongaKwani TANZANIA na South Afrika, ipi Hasa ilianza kupata Uhuru???
Tuanzie hapo .
Una HAKIKA gn kuwa sie hatukuhusika, kushiriki direct au indierct kutunga wimbo huo?Wimbo ulitungwa Afrika Kusini na Enoch Sentonga
Alishiriki nani kutoka Tanzania kuutunga wimbo huo?Una HAKIKA gn kuwa sie hatukuhusika, kushiriki direct au indierct kutunga wimbo huo?
Kumbuka HARAKATI zao asilimia kubwa tulishiriki sie??!!
Kuna watu mnaweweseka sana na kipande kinachosema "Mungu ibariki Afrika kwa sababu ya ufinyu wa elimu ya kiroho. Kimaandiko unapowaombea wengine kwanza halafu wewe ukajiombea mwisho kwa Mungu wewe ndio unabarikiwa zaidi. Wengi hawafanikiwi kwa kuweka ubinafsi mbele halafu wengine baadae.Huenda ni uvivu tulionao ndio unasababisha umasikini wetu na tumebaki kutafuta visingizio visivyo na idadi.
Swala nyeti kama wimbo wa taifa, ambao ndio kitambulisho chetu, iweje tuukwapue wimbo wa Afrika Kusini na kuufanya wetu?
Je kwanini hatukuufanya wimbo wa Tazama ramani utaona nchi nzuri, uwe wimbo wa taifa letu?
Nadhani sasa ni wakati wa kurudi kwenye asili yetu, tutunge wimbo wetu wenyewe au tuufanye wimbo wa TAZAMA RAMANI uwe ndio wimbo wa taifa.
Bro,Bro, South Africa imepata uhuru mwaka 1994 kutoka kwa kaburu. Sisi Tanganyika tumepata uhuru 1961 na muungano 1964. Sasa sijui hapo unahitaji taarifa gani zaidi kujua nani kamuiga nani?!
Tazama ramani mrefu kinoma, ni kheri tuache hivyo hivyo maana hizo kamati sijui wanakway wa kutunga, kuhariri na kupata wimbo wa taifa watakula pesa zaidi ya pesa ya sensa. Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume waambie waache tu hasara ni kubwa kuliko faida.
Unaendeshwa na roho za mapepo wachafu wewe. Kwa hiyo tuutumie wimbo mtumba, huoni huo ni umasikini kabisa wa fikra?Kuna watu mnaweweseka sana na kipande kinachosema "Mungu ibariki Afrika kwa sababu ya ufinyu wa elimu ya kiroho. Kimaandiko unapowaombea wengine kwanza halafu wewe ukajiombea mwisho kwa Mungu wewe ndio unabarikiwa zaidi. Wengi hawafanikiwi kwa kuweka ubinafsi mbele halafu wengine baadae.
"Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa". Yakobo 5:16
Tulishiriki Idea ya wimbo wao wakatunga mashairi na kuimba.Alishiriki nani kutoka Tanzania kuutunga wimbo huo?
Bro, South Africa imepata uhuru mwaka 1994 kutoka kwa kaburu. Sisi Tanganyika tumepata uhuru 1961 na muungano 1964. Sasa sijui hapo unahitaji taarifa gani zaidi kujua nani kamuiga nani?!
Tulishiriki Idea ya wimbo wao wakatunga mashairi na kuimba.
Uhuru wa S.Afrika tumehusika pakubwa.
By the way waasisi Nia Yao Hasa wimbo Ule uje kuwa wimbo wa Africa nzima maana tulidhamiria kuanzisha Dola moja ya Afrika.