Mkuu, lakini Rais alikuwa mkaburu,hii imekaaje kusema walikuwa huru ?Afrika Kusini imepata uhuru kabla hata ya sisi. Kilichokuwa kinapiganiwa na kilichofanikishwa 1994 ni kuondoa ubaguzi wa rangi, apartheid na kuwa na majority rule democracy.
Tanganyika ilikuwepo before south,South wamepata uhuru miaka ya 90 ni vigumu tuwaige unless huu wimbo ulitungwa zamani na wa south
Kwani TANZANIA na South Afrika, ipi Hasa ilianza kupata Uhuru???
Tuanzie hapo .
Bro, South Africa imepata uhuru mwaka 1994 kutoka kwa kaburu. Sisi Tanganyika tumepata uhuru 1961 na muungano 1964. Sasa sijui hapo unahitaji taarifa gani zaidi kujua nani kamuiga nani?!
Mkuu, lakini Rais alikuwa mkaburu,hii imekaaje kusema walikuwa huru ?
Nipe tafsiri ya UHURU.Unasikitisha ndugu, SA ilipata uhuru zamani tu kabla ya TZ
Mkuu mambo hayendi kwa mujibu unavyotaka wewe mambo yanakwenda kwa mujibu wa taratibu za kiulimwengu zilivyo, Wakaburu wa South ni wa south na sio wakoloni, na ndio mana mpaka leo wanaendelea kuwa raia wa SA.Nipe tafsiri ya UHURU.
Narudia tena, Afrika kusini wamepata uhuru Kutoka WAKOLONI 1994.
Wale ni WAKOLONI. Full stop, wametambuliwa rasmi kuwa pale baada ya uhuru 1994.Mkuu mambo hayendi kwa mujibu unavyotaka wewe mambo yanakwenda kwa mujibu wa taratibu za kiulimwengu zilivyo, Wakaburu wa South ni wa south na sio wakoloni, na ndio mana mpaka leo wanaendelea kuwa raia wa SA.
Wale ni WAKOLONI. Full stop, wametambuliwa rasmi kuwa pale baada ya uhuru 1994.
Sikiliza wimbo unasemaje, hauna "mwenyewe". Ni sawa na Kilatini, a dead language, hakina mwenyewe. Kuna bendera yetu nimekwambia nayo waliiba, mbona husemi?Sasa unakuwaje wa kwenu ilhali hamjautunga nyie?
Mkuu, lakini Rais alikuwa mkaburu,hii imekaaje kusema walikuwa huru ?
Umemuona Fred Mwangota hapo?