ulazima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jayvpapa

    JamiiForums Tanzania Kwani Kuna ulazima wa watu kuchangia mchango wa harusi?

    Nimeshuhudia Kuna watu wanakosana na marafiki ndugu kisa alishindwa kutoa hela ya mchango wa harusi Kwani ni lazima kufanya harusi na hauna bajeti?
  2. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kama hakuna ulazima, hakikisha WAFANYAKAZI wenzako hawapajui mahali unapoishi

    WAFANYAKAZI wenzako, marafiki wa maeneo unayofanyia kazi, wafanyabiashara wenzako ni nyoka hatari kwa maendeleo yako. Mucheke, mupige kazi urafiki wenu uishie juu kwa juu. Achana na mambo ya family friend, hayo waachie wazungu. Ikiwezekana mfanyakazi mwenzako asipajue unapoishi. Bodaboda wa...
  3. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Nakuuliza swali mama Samia kulikuwa na ulazima gani wa kutaka kulazimisha kuwatawala watu wasiokutaka na kukupenda?

    Aman iwe watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kuna mwanamke mmoja hapa mjini posta huwa nampenda sana, kwa kifupi siyo level yangu kwa kweli ni mzuri sana na ni wa kishua kwa kifupi ana maisha Lakin ndugu zangu Kuna siku niliamua nimtongoze huyu dada akawa amenikataa, nikarudia tena...
  4. idiomer

    JamiiForums Tanzania Kuna ulazima gani mwanafunzi wa kidato cha pili kufanya mtihani wa Taifa???

    Mimi naona hakuna ulazima. Halafu pia hata wakifanya wasirudie darasa.
  5. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hakuna ulazima Tanzania kuwa na Waziri Mkuu

    Inatosha tuwe tu na Rais, Makamu wa Rais, Spika na Jaji Mkuu. Kimuundo Tanzania haina ulazima wa kuwa na waziri Mkuu.
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Ukipata time cheki deni la trafiki hapa na parking kuepusha usumbufu usio na ulazima!

    Naona vijana wa parking/manispaa wanisaidiana na trafiki wamekua serious sana barabarani siku hizi. Kama una gari au ata gari la jirani mchekie madeni hapa: Trafiki: RTOC Parking: Parking
  7. Metronidazole 400mg

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna ulazima wa kutambulisha mchezaji mmoja mmoja au ni ulimbukeni tu.

    Unakuta mchezaji anatambuliwa kwa mbwembwe alafu uwanjani hamna kitu au analewa sifa mwisho anajiona bora kuliko wenzake mwisho wa siku kipaji kwishnei. Timu kubwa nyingi huwa hawana mbwembwe nyingi kama za bongo; wanasema tumesajili wachezaji watano wapya majina ni haya na haya ( wanataja list...
  8. Knock life

    JamiiForums Tanzania Kama hakuna ulazima wa kupanda boda boda, usipande!

    Ikiwa hakuna ulazima wa kupanda Boda , basi usipande.
  9. chiembe

    JamiiForums Tanzania Hans anafaa kuondolewa katika kipindi cha michezo CrownFM, anajenga chuki isiyo na ulazima

    Nashauri uongozi wa Crown FM uchukue uamuzi mgumu hasa dhidi ya Hans ambaye anajionyesha wazi yuko kwenye payroll, na muda wote anajaribu kuonyesha anafanya retirement kwa wanaomlipa. Mwisho anaharibu kipindi kwa kujaza utoto katika kila kitu. Au laa, apangiwe segment ya jioni ya michezo na...
  10. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Ukipoteza Meno huna Ulazima wa Kubaki na Mapengo Kuna Suluhisho la Kudumu

    Iwapo Umepoteza Meno halisi unaweza pata huduma ya meno bandia ya kudumu kutoka offisini kwetu Faida za Meno bandia .Kulinda meno mengine yasiharibike .Kulinda Mfupa Wa Taya usipotee . utatafuna Chakula Vizuri . Muonekano Mpya Na Kujiamini .Uimara /Ubora wa Meno utaongezeka Tunapatikana...
  11. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Katiba iweke ulazima wa mtu kuoa/kuolewa, iwe ni uhaini kuishi bila mwenza

    Hili liingizwe kwenye katiba ya nchi kabisa, ni marufuku mtu kuishi mwenyewe kama upanga maana hatuna uhakika unamaliza vipi hizo haja zako zingine. Itasaidia kupunguza ubakaji, masingo maza, watoto wa mitaani na mambo ya ushoga. Itasaidia kupunguza matukio ya watu kufa kwa kukosa msaada maana...
  12. Sigonella Island

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna ulazima gani wa kumpa mwanamke pesa baada ya tendo

    Kumekua na wimbi la utapeli wa akina dada ambao wanajiweza na wasio jiweza kiuchumi.. Mbinu wanazo tumia akihisi we hauwezi kukosa chochote cha kumpa atakutafuta kwa hila za kujifanya amekumis kwamba umemtenga na ukijaribu kupeana nae ahadi ya kuonana hata ukijifanya unakausha anakuendea hewani...
  13. Damaso

    JamiiForums Tanzania Je kuna ulazima kwa kuwatoboa pua na masikio watoto wachanga?

    Hii ni moja ya mada inayozungumzwa sana baina ya watu, na ina maoni tofauti kutokana na mtazamo wa mtu na mtu. Tunafahamu kuwa ni wazi suala la malezi ya watoto katika kipindi hiki yamebakia kwa wazazi wenyewe huku athari zikiwa ni kwa jamii, tofauti na zamani ambapo mtu mwenye umri na rika...
  14. Mayor of kingstown

    JamiiForums Tanzania Je kulikuwa na ulazima wa CCM kufanya maadhimisho ya miaka 48 badala ya kusubiri miaka 50

    Nawasilisha Bado nafikiria kulikuwa na ulazima gani wa CCm kuwahi kufanya maadhimisho ya miaka 48 wakati ingefaa na ingekua bora zaid kama wange fanya ikifikisha miaka 50 Au kuna sababu nyingine
  15. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ina ulazima gani?

    Hebu tuambiane jambo/mambo ambayo hayana ulazima kwenye mchakato wa kutongoza. Jamaa yangu ametengwa na wanaume wenzake hapa mtaani kwa tabia yake mbovu ya kutongoza wake za rafiki zake. Huku wakijua ni rafiki Yao wanamsimulia matukio muhimu ya michepuko waliyonayo. Jamaa akitoka anaenda...
  16. Sheillah Sheillah

    JamiiForums Tanzania Kuna ulazima wowote kidini au kimila kulia unapofiwa?

    Habari, Hivi kwani ni lazima mtu kulia hadi uso uchakae unapofiwa na mtu wako wa karibu (wazazi ,mwenza,mtoto, ndugu)? Au ni lazima kulia mbele za watu wajue umelia? Kwanini watu wakienda kwenye msiba wanataka wakimuona mfiwa wamuone kachakaa, macho yamevimba uso umeumuka kwa ajili ya kulia...
  17. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Tuzo za Utalii: Kulikuwa na ulazima gani Steve Nyerere kuwakaribisha wageni kwa Kingereza?

  18. Desierto

    JamiiForums Tanzania Kuna ulazima gani wa mimi kujenga nyumbani ikiwa mm naishi mjini?

    Mbona baba yangu hakujenga kwao, naomba kujua faida zake zaidi ikiwa tu nikienda kusalimia sikosi pakulala
  19. mlinzi mlalafofofo

    JamiiForums Tanzania Je kuna ulazima wa kupiga ribiti kwenye gari?

    Wakuu kuna jamaa yangu ameingiza mkweche (gari) kutoka kwa mjapani. Sasa kuna wananzengo wanampiga saundi eti apige ribiti kwenye maeneo mbalimbali ya gari kama vile kwenye taa na maeneo mengine yaliyo loose eti ili wajuvi wasipate tamaa ya kuvikwapua vitu ivo. ivi wakuu kuna ukweli ktk hili...
  20. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tunaonyandua vizuri tunaelewa umuhimu na ulazima wa kunyonye uke kabla ya shoo

    Ukiona mwanaume anaponda kunyonya uke kama sehemu ya kibwagizo cha shoo za kibabe na shoo za kinyamwezi ujue huyo mwanaume hajui emotions za physical and romantic touch. Mwanamke anaejielewa anakuwa na uke msafi na kunyonywa uke ni burudani kuliko shoo yenyewe. Wapiga shoo za kibabe kunyanya...
Back
Top Bottom