Vipi kuhusu swala la ajali ya ndege kule Bukoba; wewe unaona lilikuwa ni tukio la kawaida sana?
After all, Hoyce hajafanya kitu chochote kwenye post aliyoteuliwa na Rais, labda tu Kiingereza cha Wanasheria ni kigumu watu hawajaelewa kilichoandikwa kwenye document inayosambaa mitandaani
Chances ni kwamba Hoyce anachafuliwa tu humu kwenye mitandao kwa sababu tuhuma zinazoongelewa kwenye document hazihusiani na kazi anayofanya sasa, ni za nyuma. Na kama tuhuma hizo zingekuwa ni za kweli, basi chances ni kwamba mama asingemteua Hoyce kwa sababu zinaonyesha kuwa ni za nyuma kabla ya uteuzi wake, zingine zina adte back to as far as 2018!
Hoyce anaweza kuwa anchafuliwa tu!
T14 Armata