King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,827
- 94,945
Kwamba ndani ya IST akienda kuwasalimia ndugu zake huko
Ndiyo Mkuu.
Kwamba ndani ya IST akienda kuwasalimia ndugu zake huko
..na amapiano....DJ waleteeee
hivi kumbe nao ni kama CAG kwamba akiteuliwa haondolewi mpaka astaafu!!!!Kuna reshuffle imefanyika kwenye idara ya usalama, kwa macho ya kawaida inaweza kuonekana hili ni la kawaida, lakini kumbadili DG wa usalama si jambo dogo hata kidogo! Seniors wengine wanaweza kubadilishwa muda wowote wakizingua lakini sio kwa DG
Tumeaunza mwaka na kashfa ya balozi wetu UN Geneva kutuhumiwa kuuza siri za nchi kwa 'maadui' ama kwa watu wenye nia ovu na nchi yetu.. Hili si jambo dogo na kwa baadhi ya nchi hilo ni kosa la uhaini na hakuna adhabu nyingine zaidi ya kitanzi
Idara ya usalama wa nchi ndio ina jukumu la kulinda mkoba/mikoba yote inayohusika na 'siri' za nchi! Anapitokea mtu hata kwa nafasi yake kubwa ya kiuongozi akafanikiwa kupenya, kudukua na kuondoka na kabrasha lolote lenye habari nyeti za taifa bila DG kupata taarifa ama kuchukua hatua, huyo ndiye mwajibikaji no 1...!
Hii kashfa ya Temu ikija kuthimbitika list ya watakaotumbuliwa ni ndefu ila kwasasa tubaki na hili la Mzee wetu Diwani aliyebadilishiwa majukumu na kama hili la Ms Temu ndio limesagia kunguni
Inakuwaje mvujisha siri anabaki huku DG anang'olewa , sijaelewa mkuuKuna reshuffle imefanyika kwenye idara ya usalama, kwa macho ya kawaida inaweza kuonekana hili ni la kawaida, lakini kumbadili DG wa usalama si jambo dogo hata kidogo! Seniors wengine wanaweza kubadilishwa muda wowote wakizingua lakini sio kwa DG
Tumeaunza mwaka na kashfa ya balozi wetu UN Geneva kutuhumiwa kuuza siri za nchi kwa 'maadui' ama kwa watu wenye nia ovu na nchi yetu.. Hili si jambo dogo na kwa baadhi ya nchi hilo ni kosa la uhaini na hakuna adhabu nyingine zaidi ya kitanzi
Idara ya usalama wa nchi ndio ina jukumu la kulinda mkoba/mikoba yote inayohusika na 'siri' za nchi! Anapitokea mtu hata kwa nafasi yake kubwa ya kiuongozi akafanikiwa kupenya, kudukua na kuondoka na kabrasha lolote lenye habari nyeti za taifa bila DG kupata taarifa ama kuchukua hatua, huyo ndiye mwajibikaji no 1...!
Hii kashfa ya Temu ikija kuthimbitika list ya watakaotumbuliwa ni ndefu ila kwasasa tubaki na hili la Mzee wetu Diwani aliyebadilishiwa majukumu na kama hili la Ms Temu ndio limesagia kunguni
Halafu hizi zinazoitwa siri za nchi ni nini au ziko kwenye nini ?Huyo Temu kafanya nini? Ndio kamlaghai hadi kutoa siri?
Hii kweli kabisaHabari ya Hoyce likely Rais ndio kamteua yeye mwenyewe ila vyombo havikumpa reservations zao kumhusu Hoyce
Huyo uliyemtaja kuwaweka Ndugu zake Sukuma Gang nayo unaona ni sifa!?Analihitaji hizo reservations za Hoyce? Mtu kama aliwahi kuteua katibu mwenez CCM Wilaya akawe DG tena TPDC mpaka watu wakapiga kelele ndo akaja kutengua utashangaa ya Hoyce? Rais tulienae unatakiwa umjue wa aina gani! Huyu ashughulishi ubongo wake, huyu ni wale wa vimemo tu anateua! Hayo yakutaka mpaka amjue huyu ni wa wapi alipita wapi aliyaweza Magufuli pekeake hawa wengine.
Mfano Maridhiano ya Mbowe na CCM ni Siri za nchiHalafu hizi zinazoitwa siri za nchi ni nini au ziko kwenye nini ?
Maisha ni safari ndefuKutoka kuwa konda Hadi ubalozi uswiss
Halafu hizi zinazoitwa siri za nchi ni nini au ziko kwenye nini ?
Nimecheka Sana ,Kuna kitu unataka kusema ila umepaliwa na lunchKutoka kuwa konda Hadi ubalozi uswiss
Hoja yako ni mfu na haina maana kabisa, kama ingekuwa hivyo hata huyu aliyepewa angeondolewa maana alikuwa Naibu DGIS, pia Diwani hajapata demotion amepanda juu, anakuwa chief of Staffs sio cheo kidogo kama unavyodhania.Ndo maana hoja imekuja kama swali