Diwani Athumani amewekwa detention?

Diwani Athumani amewekwa detention?

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,624
Reaction score
18,833
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.

Diwani Athumani tangu aondoke madarakani haonekani popote na haalikwi kwenye hafla yoyote!

Watu wanajiuliza kama amewekwa detention kutokana na uzembe wake wa kiulinzi uliosababisha ajali ya tarehe 21/3/2021 na kuwaachia maumivu makubwa watanzania kwa nchi kurudi kwenye mikono ya mafisadi kwa kasi kubwa.
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.
Diwani Athumani tangu aondoke madarakani haonekani popote na haalikwi kwenye hafla yoyote!
Watu wanajiuliza kama amewekwa detention kutokana na uzembe wake wa kiulinzi uliosababisha ajali ya tarehe 21/3/2021 na kuwaachia maumivu makubwa watanzania kwa nchi kurudi kwenye mikono ya mafisadi kwa kasi kubwa.
Hii nayo ni kahawa!

Watangulizi wake unajua walipo?

Mnadhani wale ni wastaafu wa redbrigade au?
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.
Diwani Athumani tangu aondoke madarakani haonekani popote na haalikwi kwenye hafla yoyote!
Watu wanajiuliza kama amewekwa detention kutokana na uzembe wake wa kiulinzi uliosababisha ajali ya tarehe 21/3/2021 na kuwaachia maumivu makubwa watanzania kwa nchi kurudi kwenye mikono ya mafisadi kwa kasi kubwa.
Mjane wa Marehemu unaweweseka tu
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.
Diwani Athumani tangu aondoke madarakani haonekani popote na haalikwi kwenye hafla yoyote!
Watu wanajiuliza kama amewekwa detention kutokana na uzembe wake wa kiulinzi uliosababisha ajali ya tarehe 21/3/2021 na kuwaachia maumivu makubwa watanzania kwa nchi kurudi kwenye mikono ya mafisadi kwa kasi kubwa.
nonsense 🐒
 
Sasa kama alifanya uzembe kwa serikali ya sasa si ndio muda wa kupewa tuzo...
Nadhani ni maisha ambayo huenda anayapenda au wastaafu wengi wa kitengo hicho ndio wanavyoishi sababu hata wa kabla yake sijawahi wasikia sikia.
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.

Diwani Athumani tangu aondoke madarakani haonekani popote na haalikwi kwenye hafla yoyote!

Watu wanajiuliza kama amewekwa detention kutokana na uzembe wake wa kiulinzi uliosababisha ajali ya tarehe 21/3/2021 na kuwaachia maumivu makubwa watanzania kwa nchi kurudi kwenye mikono ya mafisadi kwa kasi kubwa.
Kwani hujui kwamba serikali ya sasa inayoongozwa na wanamtandao ndiyo walifanikisha ajali kutokea? Sasa watamuwajibisha vipi mtu ambaye aliwapa assist?
 
Back
Top Bottom