Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,736
- 7,536
Vipi kuhusu swala la ajali ya ndege kule Bukoba; wewe unaona lilikuwa ni tukio la kawaida sana?Kuna reshuffle imefanyika kwenye idara ya usalama, kwa macho ya kawaida inaweza kuonekana hili ni la kawaida, lakini kumbadili DG wa usalama si jambo dogo hata kidogo! Seniors wengine wanaweza kubadilishwa muda wowote wakizingua lakini sio kwa DG
Tumeaunza mwaka na kashfa ya balozi wetu UN Geneva kutuhumiwa kuuza siri za nchi kwa 'maadui' ama kwa watu wenye nia ovu na nchi yetu.. Hili si jambo dogo na kwa baadhi ya nchi hilo ni kosa la uhaini na hakuna adhabu nyingine zaidi ya kitanzi
Idara ya usalama wa nchi ndio ina jukumu la kulinda mkoba/mikoba yote inayohusika na 'siri' za nchi! Anapitokea mtu hata kwa nafasi yake kubwa ya kiuongozi akafanikiwa kupenya, kudukua na kuondoka na kabrasha lolote lenye habari nyeti za taifa bila DG kupata taarifa ama kuchukua hatua, huyo ndiye mwajibikaji no 1...!
Hii kashfa ya Temu ikija kuthimbitika list ya watakaotumbuliwa ni ndefu ila kwasasa tubaki na hili la Mzee wetu Diwani aliyebadilishiwa majukumu na kama hili la Ms Temu ndio limesagia kunguni
After all, Hoyce hajafanya kitu chochote kwenye post aliyoteuliwa na Rais, labda tu Kiingereza cha Wanasheria ni kigumu watu hawajaelewa kilichoandikwa kwenye document inayosambaa mitandaani
Chances ni kwamba Hoyce anachafuliwa tu humu kwenye mitandao kwa sababu tuhuma zinazoongelewa kwenye document hazihusiani na kazi anayofanya sasa, ni za nyuma. Na kama tuhuma hizo zingekuwa ni za kweli, basi chances ni kwamba mama asingemteua Hoyce kwa sababu zinaonyesha kuwa ni za nyuma kabla ya uteuzi wake, zingine zina adte back to as far as 2018!
Hoyce anaweza kuwa anchafuliwa tu!
T14 Armata