Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,979
- 26,083
acha wivu
Unasema hana uzoefu? Polepole[chakubanga ] alipoteuliwa ubalozi alikuwa na uzoefu gani?
HOYCE TEMU alikuwa anafanya kazi UNDP TANZANIA na mkuu kwa hapa Tanzania, yaani kishazoea kukojoa huko angani kwenye ndege kila wiki mara mbili.
wa kike:Haya ndiyo mambo ya kupeana vyeo,
Unampa mtu ubalozi tena uswiz,unampa mtu cheo ambacho hana hata uzoefu wa mambo ya kidiplomasia
Hii ndiyo shida ya kupeana vyeo kujuana ....
Ova
Unasema hana uzoefu? Polepole[chakubanga ] alipoteuliwa ubalozi alikuwa na uzoefu gani?
HOYCE TEMU alikuwa anafanya kazi UNDP TANZANIA na mkuu kwa hapa Tanzania, yaani kishazoea kukojoa huko angani kwenye ndege kila wiki mara mbili.