melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,748
Unajua hadi mm nimeshangaa kwann hawa wanawake hawapendani, mtu anaanzisha mada ambayo inamharibia kabisa mwanamke mwenzake na wala haoni tatizo. Hawa wanawake tuishi nao kwa akili sana.
Kwani wanaume nao hawaanzishi post za kumharibia mwanaume mwingine?
Acha unafiki wewe
Mtu mzima ovyooooooo [emoji35]