Je, Hoyce Temu kamponza Diwani Athumani?

Je, Hoyce Temu kamponza Diwani Athumani?

Well, issue za hoyce ni yeye na aliyekua muajiri wake UNDP, sidhani kama zina uhusiano na TISS.
May be tuseme baada ya kuwa rufaa yake huko kwa aliyekua muajiri wake imeshindikana tuseme atumbuliwe kwakua ameonekana hakufit ila has nothing to do na Diwan. Pia masuala ya Hoyce yamepita sio ya sasa hizo ni rulling za mambo yake kipindi cha nyuma...kwa tamaduni za wanasiasa wetu hiyo ngoma ni ndogo sana wanaweza funika kombe! Labda UN walete pressure kua huyu mtu aliwe kichwa! Wakuu Someni hukumu hiyo ya rufaa attached ili kuelewa issue zenyewe tofauti na mtandaoni watu wanavyoongea!
Kongole kwa kuileta hapa mkuu
 
Na kwanini mchukulie cheo cha DG wa TISS kama mayai. Kwamba ndio anahusika na kukagua usahihi wa watumishi wa level za chini kama ile. Yani kwa akili yako unadhani Director mzima wa TISS kuna siku amekaa mezani akachukua file la Hoyce Temu kukagua. Ina maana hakuna maafisa waandamizi?
Kumbuka unamuongelea balozi wa Tanzania nchini Uswisi. Anakuaje mtu mdogo?
 
Huyo Temu kafanya nini? Ndio kamlaghai hadi kutoa siri?
Hivi unamjua mchagaa ama unamskia lakini. Ukikaa na wazee wa kichaga watakuambia ukweli kuwa watanzania wote tuko sawa ama tunafanana kasoro hao tu. Yaani jamaa ilitakiwa nyerere mlima Kilimanjaro auachie uende Kenya tubakie na Mombasa port yetu
 
Nchi haina mtu maarufu wa kusema anaweza kuitishia et sijui alikuwa nani na anajua nini, kila mtu anawajibika kwa nafasi yake na atajua kunachomhusu kulingana na nafasi yake na wakati husika. Kabla yake nchi ilikuwepo na baada yake nchi itaendelea kuwepo. OVA
 
Hoja yako ni mfu na haina maana kabisa, kama ingekuwa hivyo hata huyu aliyepewa angeondolewa maana alikuwa Naibu DGIS, pia Diwani hajapata demotion amepanda juu, anakuwa chief of Staffs sio cheo kidogo kama unavyodhania.

Balozi zetu zote ziko na 80% ya watu wa TISS, JWTZ na POLISI.
Sio rahisi hivyo, na hakuna mtu ameuza siri za nchi kwa maadui kama inavyoaminishwa, na nikwambie kama hujui kitu tulia na uache kukurupuka.

Nchi yetu top secret hawezi pewa BALOZI. Top secret zetu access yake sio rahisi kama inavyodhania ww, TISS sio kwamba wao ndio wana kila taarifa, always agency zingine zinafanya kazi kukeep hizo secret, na wakati mwingine DGIS anakosa taarifa muhimu na watabe wanamfikishia RAIS direct.

Suala la Usalama wa nchi yetu achana nalo, wewe ni mtoto sana, usijidanganye na influence za hapa jukwaani Dogo.
Umeongea kitu kikubwa mkuu mpaka leo Kuna watu wanaamini kila siri ya nchi anahifadhi mkuu wa TISS au mkuu wa majeshi. Kila mtu anajua kinachomhusu na kwa sababu. Ingekuwa hivyo kuna watu wangekuwa wakubwa kuzidi nchi.
 
Hakuna siri ya nchi Hoyce aliyovujisha. Suala la Hoyce ni la muda mrefu huko UNDP.. alimvujishia taarifa muhimu za tenda ya UNDP dada yake aliyekuwa anafanya kazi Ramada hotel ili ashinde hiyo tenda.
 
Haya ndiyo mambo ya kupeana vyeo,

Unampa mtu ubalozi tena Uswiz,

Unampa mtu cheo ambacho hana hata uzoefu wa mambo ya kidiplomasia.

Hii ndiyo shida ya kupeana vyeo kujuana.

Ova
Yani sisi wabongo ni miyeyusho sana ndio maana hatuendelei mtu fani yake ni kufanya ulimbwende na umalaya anapewa balozi
 
Kumbuka unamuongelea balozi wa Tanzania nchini Uswisi. Anakuaje mtu mdogo?
Mtu mkubwa akilinganishwa na wewe, ila ni mtu wa kawaida unakuta hata hana vikao vya kumkutanisha na DG wa TISS. Kwanza unaweza kuta hajawahi kupokea taarifa yake wala kuonana naye. Tanzania ina mabalozi wengi tena makachero, achana na huyo demu wa zamani wa boss wa UN.

Nani kakwambia DG wa TISS analazimika kujua kila kilichofanywa na balozi anayetuwakilisha. Na nani kakwambia kila kosa la ubalozini anawajibika DG wa TISS, yule Mchaga aliyekufa mwezi jana kwenye ajari ya Mark X si alikuwa balozi Austria na jasusi mkubwa kabisa. Mbona kesi yake haikumuondoa Diwani sembuse kesi uchwara ya huyu.
 
Mabadiliko ni jambo la kawaida kwenye utumishi wa Umma ,

Au mlitaka jamaa yenu aendelee kubaki hapo hadi lini ?
 
Hii ya kufurushwa kwa aliekua DG na badae kuwa katibu anaeongelewa humu mmezinyaka?
IMG-20230106-WA0078.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom