jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
Ile maneno msacha oko mkunde haihitaji macho, duuuh bhana endelea na mtanange ufaidi matunda ya MunguHahaha mshiki bhana, saivi wacha niachie vijana wenye pumzi, nisije nikapoteza umauti katikati ya uwanja bure[emoji40]
Siku izi macho hayaoni tena vizuri, hata kuweka uzi kwenye sindano taabu sana[emoji85] [emoji125]