JamiiForums Usiku wa manane
Uko poa lakini mshiki, naona saivi umeshakua mwepesi, hata ukiwekwa juu ya Maji unaweza tembea bila kuzama
Wapi dirty head au ndio naemsikia anakoroma hapo
Msacha oko shindo shi umtakye umanye foo lanye
Dirty head kapumzika hapa wala hakoromagi, labda umemsikia jirani yake
Hapa mwepeeeesi yaan hadi raha. Akili inafanya kazi kama kitabu page mpya
 
Msacha oko shindo shi umtakye umanye foo lanye
Dirty head kapumzika hapa wala hakoromagi, labda umemsikia jirani yake
Hapa mwepeeeesi yaan hadi raha. Akili inafanya kazi kama kitabu page mpya
Hahaha ngihoria mshiki oko, ngalodio bhana. Chaah ngakuo na shicha shikacha. Alafu ujue mmesababisha mpaka bundi wangu Thad kapata koma sababu ya wivu
Punguzeni mahabati ya live bhana, mtaua raia mjue
 
Back
Top Bottom