jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
Nawe pia, usindikizwe na malaika was MunguUsiku mwema popoz!!
Nawe pia, usindikizwe na malaika was MunguUsiku mwema popoz!!
Tupo tumekuja lindoniKwahiyo nachat peke yangu najibu peke yangu why
Hahahaha, kabla sijastaafu michuano ya usiku wa manane hii ndo ilikua mida yangu ya kuingia uwanjaniHahahahahah tumekuja
kwel. Ulijuaje eti kaka?una kadarubini nin meku

Wa mananeUsiku
, tafadhali rudia michuano utaniambia kituHahahaha, kabla sijastaafu michuano ya usiku wa manane hii ndo ilikua mida yangu ya kuingia uwanjani![]()
Ndo kulala now,mkuu?Usiku mwema popoz!!
Uko poa lakini mshiki, naona saivi umeshakua mwepesi, hata ukiwekwa juu ya Maji unaweza tembea bila kuzamaTupo tumekuja lindoni

Msacha oko shindo shi umtakye umanye foo lanyeUko poa lakini mshiki, naona saivi umeshakua mwepesi, hata ukiwekwa juu ya Maji unaweza tembea bila kuzama![]()
Wapi dirty head au ndio naemsikia anakoroma hapo![]()
Cc Inna Mwifwa dingimtoto Neybright Kichwa Kichafu @All Bundiz mje kunitafsiria hapa.People are busy today with![]()
Hahaha ngihoria mshiki oko, ngalodio bhana. Chaah ngakuo na shicha shikacha. Alafu ujue mmesababisha mpaka bundi wangu Thad kapata koma sababu ya wivuMsacha oko shindo shi umtakye umanye foo lanye
Dirty head kapumzika hapa wala hakoromagi, labda umemsikia jirani yake
Hapa mwepeeeesi yaan hadi raha. Akili inafanya kazi kama kitabu page mpya

Nipo shemejiKwahiyo nachat peke yangu najibu peke yangu why

Hahaha mshiki bhana, saivi wacha niachie vijana wenye pumzi, nisije nikapoteza umauti katikati ya uwanja bureHii mambo sio ya kustaafu braza
, tafadhali rudia michuano utaniambia kitu
