jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
Nawe pia, usindikizwe na malaika was MunguUsiku mwema popoz!!
Nawe pia, usindikizwe na malaika was MunguUsiku mwema popoz!!
Tupo tumekuja lindoniKwahiyo nachat peke yangu najibu peke yangu why
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Usiku mwema popoz!!
Hahahaha, kabla sijastaafu michuano ya usiku wa manane hii ndo ilikua mida yangu ya kuingia uwanjani[emoji85]Hahahahahah tumekuja
kwel. Ulijuaje eti kaka?una kadarubini nin meku
Wa mananeUsiku
, tafadhali rudia michuano utaniambia kituHahahaha, kabla sijastaafu michuano ya usiku wa manane hii ndo ilikua mida yangu ya kuingia uwanjani[emoji85]
[emoji255] [emoji255] [emoji255] niroge mm,nikuchukie..... Maana nakupenda mpk naumwaWatu wamelala
Ndo kulala now,mkuu?Usiku mwema popoz!!
Uko poa lakini mshiki, naona saivi umeshakua mwepesi, hata ukiwekwa juu ya Maji unaweza tembea bila kuzama[emoji85] [emoji3]Tupo tumekuja lindoni
Msacha oko shindo shi umtakye umanye foo lanyeUko poa lakini mshiki, naona saivi umeshakua mwepesi, hata ukiwekwa juu ya Maji unaweza tembea bila kuzama[emoji85] [emoji3]
Wapi dirty head au ndio naemsikia anakoroma hapo[emoji40]
Cc Inna Mwifwa dingimtoto Neybright Kichwa Kichafu @All Bundiz mje kunitafsiria hapa.People are busy today with [emoji131][emoji131]
Hahaha ngihoria mshiki oko, ngalodio bhana. Chaah ngakuo na shicha shikacha. Alafu ujue mmesababisha mpaka bundi wangu Thad kapata koma sababu ya wivu[emoji40]Msacha oko shindo shi umtakye umanye foo lanye
Dirty head kapumzika hapa wala hakoromagi, labda umemsikia jirani yake
Hapa mwepeeeesi yaan hadi raha. Akili inafanya kazi kama kitabu page mpya
Nipo shemeji[emoji6]Kwahiyo nachat peke yangu najibu peke yangu why
Hahaha mshiki bhana, saivi wacha niachie vijana wenye pumzi, nisije nikapoteza umauti katikati ya uwanja bure[emoji40]Hii mambo sio ya kustaafu braza
, tafadhali rudia michuano utaniambia kitu
Cc Hunter atakua na majibu mujarabu kabisa[emoji125]Yuko wapi simu hiz?