dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Ilikua2017 sasa hiviNgoja aje Saint Ivuga
mwaka 2018 mwaka mpya na mambo mapya
Ilikua2017 sasa hiviNgoja aje Saint Ivuga
Atarudi soon kuna mambo anamalizia ondoa hofu mamaUmemficha wapi rafiki yangu jje's jamani?
UsilaleUsiku mwema naona sasa unakoenda, siko ila mficha maradhi kifo humuumbua
Ndo nani huyooo?Ngoja aje Saint Ivuga
Jaman ashukuriwe aliyekuamsha leo tumekumiss zaid...panya ndo kakushtua nn??
kukumiss tu ndio kumeniamsha aiseehKwanza nshamsahau hiko kimtuIlikua2017 sasa hivi
mwaka 2018 mwaka mpya na mambo mapya
Acha basi mbona unataka kufanya mtu ajitoe uhaiUsilale
BossYaani tHAd na InNA mna mambo jamani!
Silali nipo hapa kwa ajili yako mamiye!!Usilale

Jipe matumaini tuIlikua2017 sasa hivi
mwaka 2018 mwaka mpya na mambo mapya
Nadhani wazi mbele ya hadhira ya Watu, ushapata jibu kamanda
Leo naona mkuki kwa nguruwe nakuona nakuona nataka niwe wakili kabisa Leo hapaRafiki yangu Inna, nani kakufunza huo uchochezi?
Haha hujalala tu ??Acha basi mbona unataka kufanya mtu ajitoe uhai
Usiku Wa Manane
Hata hujakosea, hapa ndio mahali sahihi kwako.nimekosea njia