JamiiForums Usiku wa manane
Wanaume mmelala hamjaoga mnanuka majasho Kama beberu Khaaa yani Leo jioni nimepishana na mwanaume nikasema mbuzi katokea wapi katikati ya mjiii
best hivi hao wanaume walikukosea nini? Maana kila ukiamka unao!

Ila wanaume wa hapa wote wameoga na wamepaka mafuta. Labda wanaume wa jukwaa la siasa ndo wamelala bila kuoga wale
Na hili baridi mnapiga passport asubuhi Mnaenda kazin hata mafuta hampakiii muache hiyo tabiaaa
 
Back
Top Bottom