JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wanaume mmelala hamjaoga mnanuka majasho Kama beberu Khaaa yani Leo jioni nimepishana na mwanaume nikasema mbuzi katokea wapi katikati ya mjiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] best hivi hao wanaume walikukosea nini? Maana kila ukiamka unao!

Ila wanaume wa hapa wote wameoga na wamepaka mafuta. Labda wanaume wa jukwaa la siasa ndo wamelala bila kuoga wale [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Na hili baridi mnapiga passport asubuhi Mnaenda kazin hata mafuta hampakiii muache hiyo tabiaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] best hivi hao wanaume walikukosea nini? Maana kila ukiamka unao!

Ila wanaume wa hapa wote wameoga na wamepaka mafuta. Labda wanaume wa jukwaa la siasa ndo wamelala bila kuoga wale [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Alikuwa usingizini kaamka nalo hilo! tujumuike nae tuu
 
Back
Top Bottom