win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,902
- 8,728
sawa nimeachaAcha kuhoji sana kama rafiki yako Yule mwandishi wa habari
sawa nimeachaAcha kuhoji sana kama rafiki yako Yule mwandishi wa habari
Yeah wabarikiwe Sana wao ndio nguzo bila wao hatuwezi simamaKwa heshima ya mafaza wote
1 pesaYah but ni vitu vinavyotegemeana bila Amani huwezi tafuta pesa pia
Wewe Tu Mzee wangu deal nikiwa nalo sikumbuki kum@ kakaKuna deal mezani, ukiacha uzinzi nishtue tujadiliane.
Mzee unaomba kupiga simuWacha nikupigie simu saiv tuongee Ile mambo yetu au ushaweka Sawa.
Niachane nalo tu
Never mind mimi ni ndugu wako wa kambo nafurahi nikiitwa NDUGU WA KAMBOooh samahani kwa kukuita ndugu
Nitalala tar 1 April 💔binti haulali unatafuta nini huku
ooh oukyy hamna shidaNitalala tar 1 April 💔
Hahaha,kibumbu kizuri cha mkeo, anyway kama kawaida kule juu.Wewe Tu Mzee wangu deal nikiwa nalo sikumbuki kum@ kaka
Duh majina yote hayo una haki uipende pesa kuliko amani but how much is enough to you to satisfy?1 pesa
2 Mchele
3 mavumba
4 sasampa
5furus
6 maokoto
7 hela
8 afya
9 Amani
10 Enjoy
Pesa haiishi hamuDuh majina yote hayo una haki uipende pesa kuliko amani but how much is enough to you to satisfy?
Huyo money lover Hana kikomoDuh majina yote hayo una haki uipende pesa kuliko amani but how much is enough to you to satisfy?
Kwa namna hiyo ni kuwa huwezi kuwa na amani your life timePesa haiishi hamu
Kiasi naweza kumdu michongo on time ni kianzio kizuri kua nacho 😎
Wacha nikale mtungi Kwanza Ramadhan imeishaBiashara ya kule, futa hii comment.
Amani kwake anajisikia tu maana bila pesa hana amani na pesa haina kikomoHuyo money lover Hana kikomo
Wewe kale tungi, mi nakula ugali na mirungi 😅.Wacha nikale mtungi Kwanza Ramadhan imeisha
Neno lako sio sheriaKwa namna hiyo ni kuwa huwezi kuwa na amani your life time