Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 3,172
- 6,202
Tatizo Geto langu ndio stooOa tu mzee, hizo mambo za ku sort zina nuksi, mikosi na risk sana.
Mi nishaona jau, mapema niko ndani nacheki movie tu.
Tatizo Geto langu ndio stooOa tu mzee, hizo mambo za ku sort zina nuksi, mikosi na risk sana.
Mi nishaona jau, mapema niko ndani nacheki movie tu.
Kwa heshima ya mafaza woteYou are luck bro mtunze sana mzee wako mine hata sikumuona he died since am 3 yrs old very sad
For you is ok 👍Huwezi kuwa na mzuka wa kutafuta pesa bila Amani kutengeneza.
Utakuwa unafanya Kazi alafu ghafla utaona Kazi haina muhimu kabisa katika Maisha yako
Tafuta wa kukulizia, sio lazima usake hizi ready 5:star.Tatizo Geto langu ndio stoo
Win hujalala au hujasinzia0100
Tatizo ushazoe kuwa single wee bintiFor you is ok 👍
But for me I need money ✅️
Ili huyo amani adumu kwangu naitaji💰
Yah but ni vitu vinavyotegemeana bila Amani huwezi tafuta pesa piaPesa itakupa asilimia 99 ya unavyotaka akiwemo huyo amani mnaemsema
Amani itakupa asilimia 1 😁
vyote vyote sijalala wala sijasinzia ndugu yanguWin hujalala au hujasinzia
Jana nimeomba namba pisi Kali ikanipa namba ambayo haipo kabisa.Tafuta wa kukulizia, sio lazima usake hizi ready 5:star.
Saka wa kwako, atakaye kubali hali yako.
Na ili niwe single kwa amani bila kutumbukia kwenye mahusiano ya mchongo lazima niwe na hela😁😁Tatizo ushazoe kuwa single wee binti
Kama sungura vile usingizi wakovyote vyote sijalala wala sijasinzia ndugu yangu
binti haulali unatafuta nini hukuNa ili niwe single kwa amani bila kutumbukia kwenye mahusiano ya mchongo lazima niwe na hela😁😁
Single for life
Stay single enjoy your self 😌
kwanini yaniKama sungura vile usingizi wako
Wacha nikupigie simu saiv tuongee Ile mambo yetu au ushaweka Sawa.Na ili niwe single kwa amani bila kutumbukia kwenye mahusiano ya mchongo lazima niwe na hela😁😁
Single for life
Stay single enjoy your self 😌
Mh watu wa humu kwa kuunga undugu! Au ndio athari za socialismvyote vyote sijalala wala sijasinzia ndugu yangu
Kuna deal mezani, ukiacha uzinzi nishtue tujadiliane.Jana nimeomba namba pisi Kali ikanipa namba ambayo haipo kabisa.
Nikacheka Sana nikasema kibunda kimepona
Acha kuhoji sana kama rafiki yako Yule mwandishi wa habarikwanini yani
ooh samahani kwa kukuita nduguMh watu wa humu kwa kuunga undugu! Au ndio athari za socialism