JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Ugali na mlungi lazima utataka utembee Tu mana macho yatakutoka na jasho jingi.

Hiyo kitu ilinitesa sana mara nimekaa hapa mara nimenzisha stori mara Dogo kalete big G yani ilikuwa balaa.

Alafu nipo na nyagi siskii tungi Wala nini nilivyotema taksima asee nilienda kulala
Hahaha, Mimi sipigi hizo mbanga.

Anko ali mindevu ana ipiga akiwa ana piga hesabu, au kushusha mzigo.
 
Back
Top Bottom