JamiiForums Usiku wa manane
Unaweza ukawa na michongo mingi ya Hela lakini usiwe na Amani ya hizo Hela

Tengeneza Amani Kisha mengine hufata
Yah, Amani muhim sana hasa amani ya moyo na utulivu vp mzee ni vitu gani kwako hukukosesha amani
 
Back
Top Bottom