Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 5,735
- 8,503
Kitu muhim sana bila Amani hakuna maisha🤝Amani
Kitu muhim sana bila Amani hakuna maisha🤝Amani
A confession of a Mad Philosopher00:48 intelli fvckin world
Unaweza ukawa na michongo mingi ya Hela lakini usiwe na Amani ya hizo HelaKitu muhim sana bila Amani hakuna maisha🤝
Vina ndio nani?, yaani una nirushia stimu kisa kina?A confession of a Mad Philosopher
Dizasta vina
Wee Mzee napita zangu sinza hapa kitambaa cheupe naitwa Sana na hizi Papa nawaza nikapige moja nakumbuka kesho natakiwa nikafunge dili nitakula nauliVina ndio nani?, yaani una nirushia stimu kisa kina?
Lala Sasa au Hadi nikupigie simu00:55
Life is not easy
Nimekosa jibu🔥Lala Sasa au Hadi nikupigie simu
Yah, Amani muhim sana hasa amani ya moyo na utulivu vp mzee ni vitu gani kwako hukukosesha amaniUnaweza ukawa na michongo mingi ya Hela lakini usiwe na Amani ya hizo Hela
Tengeneza Amani Kisha mengine hufata
Amani bila hela hua huyo amani mwenyewe ana dissappearYah, Amani muhim sana hasa amani ya moyo na utulivu vp mzee ni vitu gani kwako hukukosesha amani
Fuckin truth00:55
Life is not easy
Mzazi wangu nikipigia simu alafu simu yake isiwe inapatikanaYah, Amani muhim sana hasa amani ya moyo na utulivu vp mzee ni vitu gani kwako hukukosesha amani
Kalale urudi mishake ya saa 10,11,lazima ukute mali za maana zmeshuka bei.Wee Mzee napita zangu sinza hapa kitambaa cheupe naitwa Sana na hizi Papa nawaza nikapige moja nakumbuka kesho natakiwa nikafunge dili nitakula nauli
Mtoto meupeee Mzee wangu..Kalale urudi mishake ya saa 10,11,lazima ukute mali za maana zmeshuka bei.
Anyway std yake labda tukufanyie research, ndio upate dawa 😅
Sure! Kwa wengine pesa ndio kila kitu sometime pesa huleta amaniAmani bila hela hua huyo amani mwenyewe ana dissappear
Oa tu mzee, hizo mambo za ku sort zina nuksi, mikosi na risk sana.Mtoto meupeee Mzee wangu..
Huwezi kuwa na mzuka wa kutafuta pesa bila Amani kutengeneza.Amani bila hela hua huyo amani mwenyewe ana dissappear
You are luck bro mtunze sana mzee wako mine hata sikumuona he died since am 3 yrs old very sadMzazi wangu nikipigia simu alafu simu yake isiwe inapatikana
Pesa itakupa asilimia 99 ya unavyotaka akiwemo huyo amani mnaemsemaSure! Kwa wengine pesa ndio kila kitu sometime pesa huleta amani