Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,378
- 96,677
02:18
Wee utakuwa mchawiNatafuta wa kukesha nae tuzogoe hadi asubuhi
Hapana mkuu Leo nilikuwa nafunga hesabu zangu za mwisho wa mwezi nimelala mchana mzima saizi naona kama ndio kunakuchaWee utakuwa mchawi
Wewe me au ke.Natafuta wa kukesha nae tuzogoe hadi asubuhi
MaleWewe me au ke.
Tuanzie hapa
Lete madili kaka au wewe keWewe me au ke.
Tuanzie hapa
Soma Bango huwezi kuwa na jina hilo alafu uwe jike.Lete madili kaka au wewe ke
Guddy kaka mipango inaendaje kwakoSoma Bango huwezi kuwa na jina hilo alafu uwe jike.
Nimeuliza ili nijue naongea na Wewe Kwa Lugha Gani.
Okay inakuwaje Mzee WA Kazi
Mipango fresh saana Mzee wangu.Guddy kaka mipango inaendaje kwako
Bless sana mkuu, kipi ni mzuka kwakoMipango fresh saana Mzee wangu.
Mungu amenipa watu
AmaniBless sana mkuu, kipi ni mzuka kwako
Michongo
Mademu
Siasa
Mziki
Mpira