Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,879
- 948
10.29 mida ya kumalizia kula daku pande hizi za Nyanda za Juu Kusini
mmesubiri niingie bafuni ndo muanze kutuma sms uchoyo tu mxiuuuuu😔
Good luck, deal zijipe vyema.Dah,
Thanks for theupdate. Nitafuatilia. Nasoma kitabu cha Dr. mmoja hapa kuna interview napanga kumfanyia kuhusu kazi zake.
Pole nyonyo💃🏽mmesubiri niingie bafuni ndo muanze kutuma sms uchoyo tu mxiuuuuu😔
kwahiyo mlirudi saa 10 asubuhi? alf ile saa 3 mnaniambia nimechelewa,, amakweli nyie vijana ni wabaya04:41
Nilale sasa🥱
Tulirudi kutoka kwenye maombi mama relax🥴kwahiyo mlirudi saa 10 asubuhi? alf ile saa 3 mnaniambia nimechelewa,, amakweli nyie vijana ni wabaya
hata kama hamkupaswa kufanya vileTulirudi kutoka kwenye maombi mama relax🥴