JamiiForums Usiku wa manane
Assume less. Expect nothing. Demand nothing. What is meant to happen will happen. Stop obsessing over itโ€”both good and bad are part of life.
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
nipo macho nashangilia ushindi wa yanga,nakunywa kahawa na tende
 
Back
Top Bottom