JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
nipo macho nashangilia ushindi wa yanga,nakunywa kahawa na tende
 
02:00
"My inhibition's fightin' my intuition
Premature premonition, showin' me the demolition

Of these distribution tuitions with intention of relaxation, distinction of masturbation"
 
5577E5D9-D380-4D6F-B555-02960AD960FF.jpeg
 
Back
Top Bottom