JamiiForums Usiku wa manane
Umekumbuka babe wako mwenye mzigo🤪
nyau wew😅😅😅😅 kuna rafiki angu aliwahi kunipikia akachanganya na nyanychungu akatia vikolombwezo kama vyote alaf akanidanganya ni maini😭😭😭 kila nikila na ubwabwa sihisi radha ya maini, yeye anasema we endelea kula tu mpka utakapo pata radha ya maini,,, yaaani nilimaliza ubwabwa wote bila kuonja maini😪, sasa nikionaga biliganya tu lazima hiyo story ijirudishe kichwani kwangu🤭😁🤦‍♀️
 
nyau wew😅😅😅😅 kuna rafiki angu aliwahi kunipikia akachanganya na nyanychungu akatia vikolombwezo kama vyote alaf akanidanganya ni maini😭😭😭 kila nikila na ubwabwa sihisi radha ya maini, yeye anasema we endelea kula tu mpka utakapo pata radha ya maini,,, yaaani nilimaliza ubwabwa wote bila kuonja maini😪, sasa nikionaga biliganya tu lazima hiyo story ijirudishe kichwani kwangu🤭😁🤦‍♀️
Basi minnayapenda balaa yanaleta usingizi😅 huku nilipo tu sijakutana nayo ila nayaoenda sana, nyumbani kwnagu yalikuwa hayakosekani nanunua mafungu huko sokoni nayapika style zote 😋

Wewe ulikuwa mvivu au mchaguzi kula na ndiomaana rafiki yako akakukomesha kwa style hiyo ili uweze kula umalize ubwabwa😂
 
Basi minnayapenda balaa yanaleta usingizi😅 huku nilipo tu sijakutana nayo ila nayaoenda sana, nyumbani kwnagu yalikuwa hayakosekani nanunua mafungu huko sokoni nayapika style zote 😋

Wewe ulikuwa mvivu au mchaguzi kula na ndiomaana rafiki yako akakukomesha kwa style hiyo ili uweze kula umalize ubwabwa😂
Hapana bwana ila sijazoea kuyatumia pekeake kama mboga, nyumban kwetu tulipenda kuchanganya na dagaa kwahiyo yale mazoea ya nyumbani yakawa yameniathiri na nilishawahi kumuelezea ila akanambia ipo siku nitakukomesha😪 na kweli bwana alifanikiwa🤣🤣🤣🤣🤣

Hiyo kupika kila style ndo ipoje binti😄 naomba nifundishe tafwazali🙃🙃
 
Hapana bwana ila sijazoea kuyatumia pekeake kama mboga, nyumban kwetu tulipenda kuchanganya na dagaa kwahiyo yale mazoea ya nyumbani yakawa yameniathiri na nilishawahi kumuelezea ila akanambia ipo siku nitakukomesha😪 na kweli bwana alifanikiwa🤣🤣🤣🤣🤣

Hiyo kupika kila style ndo ipoje binti😄 naomba nifundishe tafwazali🙃🙃
Kuna yale unachanganya na mboga nyingine kama wewe unavyosema hapo, na kuna ile unayakatakata vipande slim kama mboga mboga unayaunga na karanga😋 yanakuwa mazuri tu! Na kuna kuyapika yenyewe tu, na kuna kutengeneza pilipili yake uweeh🤤
 
Kuna yale unachanganya na mboga nyingine kama wewe unavyosema hapo, na kuna ile unayakatakata vipande slim kama mboga mboga unayaunga na karanga😋 yanakuwa mazuri tu! Na kuna kuyapika yenyewe tu, na kuna kutengeneza pilipili yake uweeh🤤
maneno tu yamenitoa udenda🤣🤣🤣 sas nikionja chakula sindo nitazimia yawa,, inabidi nikufuate unifundishe haiwezekani ujue vitu vizuri pekeako😋
 
maneno tu yamenitoa udenda🤣🤣🤣 sas nikionja chakula sindo nitazimia yawa,, inabidi nikufuate unifundishe haiwezekani ujue vitu vizuri pekeako😋
Huhuhu njoo weekend tukazoe furushi la bilinganya pale home market tuakapike aina tano za mapishi yake tulee tulewee 🍆🍆 🍆
 
Back
Top Bottom