JamiiForums Usiku wa manane
🎶 ewe baba amka kumekucha kwani hizi ndizo saa za kwenda shambaa,,

hata wew mwalim amka kumekucha kwani hizi ndizo saa za kuandaa mada ya kufundisha

hata wew mwanafunzi amka kumekucha kwani hizi ndizo saa za kujisomea🎶🎶🎶🎶💃
 
sitosahau nilipokua mdogo nilikua namsikiliza dj arungu anauliza watu maswali redioni na wakikosea anawachapa viboko, basi nilivyo mpuuzi nikawa nahisi vile viboko vinawafikia kweli😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom