Mpe salamView attachment 3474370
Kazi kazi wajuba
Muda mzuri ni kuanzia saa tisa, hapo ndio kuna tafakuri ya kina na yenye majibumda mzuri wa tafakuli
Huyo ni yule dogo alietred juzi kaiba sijui Nini sasa naona ameopoa😄Mpe salam
hii inategemean na sehem uliyopo,, kama kuna utulivu wa kutosha hata saivi ni sawa kabisaMuda mzuri ni kuanzia saa tisa, hapo ndio kuna tafakuri ya kina na yenye majibu
Hili neno wajuba lina maana gani ,kwa sababu kuna mtu kaniita mjuba nikamweka ignore nikajua ni tusi, naliona tena hapa🤔
Hapana! Ulale kwanza ndio uamke kutafakari, kabla ya hivyo mawazo yatapandanahii inategemean na sehem uliyopo,, kama kuna utulivu wa kutosha hata saivi ni sawa kabisa
Mpe salam
Ahaaa! Kumbe.
Nitoe ushamba please lmg ndio nini2330 LMG full loaded.
🤗 Matoy yakizungu yakuchezea google Light machine gun.Nitoe ushamba please lmg ndio nini
Nime Google bwana na nimeelewa, asntee.🤗 Matoy yakizungu yakuchezea google Light machine gun.
Inatosha hapo hapo🤣🤣🤣 jukwaa la walinzi hili.Nime Google bwana na nimeelewa, asntee.
Ilaaa! Au basi!
Chino raskazone nime acha alama za mabao yangu, sasa lete vurugu kumbe dada ako ndiye x wangu.Bebe nang'o ntakulijahhh!
View attachment 3474329