sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,746
- 4,350
We mkulima Lima fenesi lakini wanaume wa DSM wanataka uwakatie na uwamenyee then uwaekee kwenye kikopo ndo wale wapo lazi kutoa buku..Hata tunapofungua mlango tunatumia ufunguo
We mkulima Lima fenesi lakini wanaume wa DSM wanataka uwakatie na uwamenyee then uwaekee kwenye kikopo ndo wale wapo lazi kutoa buku..Hata tunapofungua mlango tunatumia ufunguo
Mkuu sikuwahi kupitia huu uzi mi ni mkeshajiWewe umelala? Dah
![]()
![]()
![]()
Tokea lini umekua dokta, au unataka utumie ujuzi wa kuziba matundu ya vikombe kunitibu sioe![]()

Hivi hiyo 20% uliniambia ni nini? Tafadhali nikumbishe mwl.wanguUsijali Mwanafunzi si unajua tena mimi huwa nachukua 20% tu, zingine zote zako
![]()
![]()
![]()
![]()
bahati yako Inna yupo, ningekupa kubwa. Yaani wema wangu umegeuka ubaya machoni pako?

Au nizianike sms ulizoniambilia?Ohoooh naona unataka kunibambikizia tuhuma, uchochezi sio mzuri ujue![]()
![]()

Nipe kwanza heshima yangu, ndio niwe mwl.wako
Sema N
Ndio mkuuHamlali duuuu
Ohooo unataka kutufungia ndani? We Mangi kweli mtata....Hello longtyme kitambo sijapita kufunga gate humu,any way kiosk kilinikip busy sana si unajua mambo ya sikukuu
Karibu sana mkuuHello longtyme kitambo sijapita kufunga gate humu,any way kiosk kilinikip busy sana si unajua mambo ya sikukuu
Dadeki, yani mwanafunzi unanijibu mimi hivyo, nakuhakikishia bakora kwangu ni lazima, either you like it or notUtalisikia masikioni tu, ukiendelea kutumia stick kwenye ufundishaji

Kweli tena kila nikitoka humu nilikuwa na R.I.P ikifika mida hii nazinduka kuja kuona kama wamerudi![]()
![]()
![]()

We mkulima Lima fenesi lakini wanaume wa DSM wanataka uwakatie na uwamenyee then uwaekee kwenye kikopo ndo wale wapo lazi kutoa buku..
Ndugu kwani wanaume wa DSM wamekufanyaje mbona unawasakama sana? Hebu tuachie waume zetu. Pambana na hali yako ya kuwa wakoaniNdio maana pakawepo aina za kazi tofauti tofauti na watu maalumu kwenye hizo kazi.We mkulima Lima fenesi lakini wanaume wa DSM wanataka uwakatie na uwamenyee then uwaekee kwenye kikopo ndo wale wapo lazi kutoa buku..
Karibu chamani! Usirudie tena kukesha peke yako,uwe unakuja kukesha na wenzio hapaMkuu sikuwahi kupitia huu uzi mi ni mkeshaji
Na hii je, Yan hata kesex kwao wameshazoea goli moja anaenda kuangalia TV alafu anaenda La pili anarudi tena kuangalia TV...Ndio maana pakawepo aina za kazi tofauti tofauti na watu maalumu kwenye hizo kazi.
Alama kwenye Chemsha bongo, jaribio, mtihani na mahudhurio.Hivi hiyo 20% uliniambia ni nini? Tafadhali nikumbishe mwl.wangu
Tunaweka time limit ya kuzurura aisee,kishumundu poa sanaOhooo unataka kutufungia ndani? We Mangi kweli mtata....![]()
![]()
![]()
za kishumundu asee
HahahaaaaSehemu wanapopatikana bundi na popo
Mwelezee jinsi ninavyokutibugi....huyo hanijui