sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,746
- 4,350
Safi sana, kumbe tupo wengi ma profeshenoHaina haja ya eneryg mkuu mimi kama mlinzi vile nilie jiajiri
Safi sana, kumbe tupo wengi ma profeshenoHaina haja ya eneryg mkuu mimi kama mlinzi vile nilie jiajiri
Hi, habari za kitongoji
Ewaaa hayo ndo maneno sasaNimeona hiyo MPENDWA moyo umesawijika kabisa, nakuamini kuliko hata kucha zangu my lovely student

Hello miss kitongoji!
Tupo mkuu tunasubiri jogoo awikeSafi sana, kumbe tupi wengi ma profesheno
Karibu , ndio unaamka amaa
Huyo ni mvivu sana bora umwachie bundi mmoja anaitwa ThadMwachie Nleterewa Nganengo
Hapo sasa.Halafu mkulu kakataza kutoa data uchwara namna hii
Poa poaPoa, nitarudi mida ngoja nikahakikishe mikeka.
Safiii, ila leo hali tete sana hapa, labda hadi ikifika majogoo niende muhimbili kuongezewa damu, maana umbuuuu mzeeeTupo mkuu tunasubiri jogoo awike
Hachapwi mtu hapaDadeki, yani mwanafunzi unanijibu mimi hivyo, nakuhakikishia bakora kwangu ni lazima, either you like it or not![]()

Utafiti lazima uwe na Data, huwezi kusema kitu fulani kipo hivi halafu ukose uthibitisho.Majukumu ya serekali hayo mkuu
Mkuu kuna vile vidawa vya kupaka kama mafuta hebu tafuta ili wasitusumbueSafiii, ila leo hali tete sana hapa, labda hadi ikifika majogoo niende muhimbili kuongezewa damu, maana umbuuuu mzeee
Nakaribia kuegesha tu maana kulala bado muda haujafikaHulali
What? Kumbe ndio maana mnapenda kuombewa tu ila kutubu hamtaki....
Basi sawa nitakuonesha rangi yangu halisi![]()
![]()
![]()

Ndio maaana sijatoa za kwao , nimetoa zangu mwenyewe ,Halafu mkulu kakataza kutoa data uchwara namna hii