Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Hongera kwa kazi kiongozi![]()
tupo tunasongesha midudeeeer
hatuna habariiiiii
Hongera kwa kazi kiongozi![]()
tupo tunasongesha midudeeeer
hatuna habariiiiii
Hata tunapofungua mlango tunatumia ufunguoWakati wa mkoani wanatembea , si hapo tu
Aisee huyu mwanafunzi mbaguzi sana, mbona hilo neno "kipenzi" hujawahi kulitumia kwangu aiseeMwalimu wangu kipenzi katika masomo nifichie aibu![]()
![]()
![]()

Kweli tena kila nikitoka humu nilikuwa na R.I.P ikifika mida hii nazinduka kuja kuona kama wamerudiMwanafunzi gani huyo muongo kiasi hichi![]()
![]()
![]()
![]()
kila siku tunakimbizana unakataa kufanya chemsha bongo eti unasema uli R.I.P
![]()
![]()
![]()

Mwanafunzi gani huyo muongo kiasi hichi![]()
![]()
![]()
![]()
kila siku tunakimbizana unakataa kufanya chemsha bongo eti unasema uli R.I.P
![]()
![]()
![]()
Halafu mwanafunzi umsaidie mwl wako kutamka hilo jina la mwanzo la .......NganengoUmeona eeh! Yaani angejua jinsi navyopataga shida kuliandika lake asingekosea jina lako![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umejibu kama mtakatifu flan, wewe ni wa kushindia maji kweli![]()
jamani mbona siaminiki kiasi hiki? Hata wewe mwl.wangu mpendwa katika masomo huniamini?Njoo nikupe asali ujitibie hicho kikohoo maana naona kinazidi kukua kila siku mwishowe utaanza kubanja sasa![]()
![]()
![]()

Hahaha itabidi turudi kutumia jina letu la kitaaluma "Sir" maana huku tunakoelekea tutaishia kutukana.

Nipe kwanza heshima yangu, ndio niwe mwl.wakoHalafu mwanafunzi umsaidie mwl wako kutamka hilo jina la mwanzo la .......Nganengo![]()
Usijali Mwanafunzi si unajua tena mimi huwa nachukua 20% tu, zingine zote zakoMwalimu wangu kipenzi katika masomo nifichie aibu![]()
![]()
![]()
Ohoooh naona unataka kunibambikizia tuhuma, uchochezi sio mzuri ujueUmesahau kuwa wewe ndiye uliyeniambia hiyo habari?![]()
![]()
![]()

![]()
![]()
![]()
Tokea lini umekua dokta, au unataka utumie ujuzi wa kuziba matundu ya vikombe kunitibu sioe![]()
bahati yako Inna yupo, ningekupa kubwa. Yaani wema wangu umegeuka ubaya machoni pako?Sawa,ngoja tuchangie kodi tukalale,wenye nguvu mbali hewaniNdo hivyo
Punguza uchochezi aisee, ujue me nimezoea kuandika kifupiUmeona eeh! Yaani angejua jinsi navyopataga shida kuliandika lake asingekosea jina lako![]()
![]()
![]()

Wewe umelala? DahHamlali duuuu
Utalisikia masikioni tu, ukiendelea kutumia stick kwenye ufundishajiAisee huyu mwanafunzi mbaguzi sana, mbona hilo neno "kipenzi" hujawahi kulitumia kwangu aisee![]()
SawaKweli tena kila nikitoka humu nilikuwa na R.I.P ikifika mida hii nazinduka kuja kuona kama wamerudi![]()
![]()
![]()