Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Kikubwa usisahau kujisomea wewe mwanafunziNyie bandugu mlikuwa mmefichana wapi? Kwanini mlinitesa hivyo kwa kuwahamu? Hivi mnajua sikula kabisa krismas kwasababu ya kuwamiss?![]()
![]()
![]()
Kikubwa usisahau kujisomea wewe mwanafunziNyie bandugu mlikuwa mmefichana wapi? Kwanini mlinitesa hivyo kwa kuwahamu? Hivi mnajua sikula kabisa krismas kwasababu ya kuwamiss?![]()
![]()
![]()
Umeona eeh! Yaani angejua jinsi navyopataga shida kuliandika lake asingekosea jina lakoIla jina langu sio gumu kama la kwako![]()

Anaanza kujitetea huyo ninayo video ulikuwa unaomba sahani ya ubwabwaKweli tena, mi sikula bali nilikunywa tu
Sehemu wanapopatikana bundi na popoJf usiku wa manane
Aisee, alafu anazuga hakulaAlikula huyo
Hawa sio wa kucheleweshwa, si umeona walivyoingia kabla ya muda halafu wanadai kuwa si wakaaji kabisaHebu wape kwanza kiti wakae uwape na vinywaji ndo mashtaka yaanze, we huoni wamechoka?![]()
Haya mkuu haukula ila kunywa tuAisee, alafu anazuga hakula

Pole sana na karibu sanaNimefika ilikuwa safari ndefu sana
Asante sanaPole sana na karibu sana
Na wewe katika ubora wakoMwifwa katika ubora wako
Ohooo mbona twaumbuana jamani? Nifichieni hii aibuAnaanza kujitetea huyo ninayo video ulikuwa unaomba sahani ya ubwabwa
Aisee, alafu anazuga hakula
Hahaha itabidi turudi kutumia jina letu la kitaaluma "Sir" maana huku tunakoelekea tutaishia kutukana.Ila jina langu sio gumu kama la kwako![]()
Mwalimu wangu kipenzi katika masomo nifichie aibuKikubwa usisahau kujisomea wewe mwanafunzi

Mwanafunzi gani huyo muongo kiasi hichiNili R.I.P baada ya kukumiss kwa muda mrefu, nashukuru umerudi kabla sija....
kila siku tunakimbizana unakataa kufanya chemsha bongo eti unasema uli R.I.P
Njoo nikupe asali ujitibie hicho kikohoo maana naona kinazidi kukua kila siku mwishowe utaanza kubanja sasaKoh koh koh

Wala sikula kabisa noel bali nilikunywa maji tu![]()
![]()
![]()


Hii kiwanda mbona kama ile ya mambo yetu alafu masikia harufu ya ngano hapo![]()
tupo tunasongesha midudeeeer
hatuna habariiiiii
Ndio ndioNa wewe katika ubora wako