Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,985
- 95,438
Hahaha kudadadeki, Ko uki chommoka nao wana taka kuchomoa roho na mali zako.Jana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
Hapa nilikua natembea sana usiku kwenye Club zao hizo ila sasa hivi ni hatari wahuni wanakutoa roho wanataka gari maana ulinzi hakuna kabisa mida hii wapo wao tu huko nje polisi wameenda kulala ambao walitakiwa wawe Lindo.Hahaha kudadadeki, Ko uki chommoka nao wana taka kuchomoa roho na mali zako.
Shida ya huo mji ndiyo hiyo, pako vere. ila panga mkononi roho beganiHapa nilikua natembea sana usiku kwenye Club zao hizo ila sasa hivi ni hatari wahuni wanakutoa roho wanataka gari maana ulinzi hakuna kabisa mida hii wapo wao tu huko nje polisi wameenda kulala ambao walitakiwa wawe Lindo.
Wahuni wanatumia siraha kama wanatumia fimbo dakika yeyote watu wanavamia uzuri mimi nilipata jengo maeneo ya Wazungu kuingia password za kutosha ulinzi umesimamia kucha ila ukitaka kwenda hapo Nuggets/Kerk Street kwenye mambo ya kupakia mizigo ndio pana balaa aiseeShida ya huo mji ndiyo hiyo, pako vere. ila panga mkononi roho begani
JohannesburgJana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
Na akili zao ni kama mkweche, sekunde 1 vurugu za miaka 10.Wahuni wanatumia siraha kama wanatumia fimbo dakika yeyote watu wanavamia uzuri mimi nilipata jengo maeneo ya Wazungu kuingia password za kutosha ulinzi umesimamia kucha ila ukitaka kwenda hapo Nuggets/Kerk Street kwenye mambo ya kupakia mizigo ndio pana balaa aisee
Habari ya songea00:47
Location: LA CHALZ SPORT BAR Songea
Habari ya songea
Baridi inaonekan Kali sana vipi warembo si kama wote
Meku mbonyisapho01:17
Pori gani uko Uganda....01:29 Niko lindo kutokea Uganda maporini
Nacho cha ruwa mono wama.Meku mbonyisapho