JamiiForums Usiku wa manane
Jana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
 
Jana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
Hahaha kudadadeki, Ko uki chommoka nao wana taka kuchomoa roho na mali zako.
 
Shida ya huo mji ndiyo hiyo, pako vere. ila panga mkononi roho begani
Wahuni wanatumia siraha kama wanatumia fimbo dakika yeyote watu wanavamia uzuri mimi nilipata jengo maeneo ya Wazungu kuingia password za kutosha ulinzi umesimamia kucha ila ukitaka kwenda hapo Nuggets/Kerk Street kwenye mambo ya kupakia mizigo ndio pana balaa aisee
 
Jana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
Johannesburg
 
Wahuni wanatumia siraha kama wanatumia fimbo dakika yeyote watu wanavamia uzuri mimi nilipata jengo maeneo ya Wazungu kuingia password za kutosha ulinzi umesimamia kucha ila ukitaka kwenda hapo Nuggets/Kerk Street kwenye mambo ya kupakia mizigo ndio pana balaa aisee
Na akili zao ni kama mkweche, sekunde 1 vurugu za miaka 10.

Wana uana kisa mademu, pombe, bora botswana mwanangu.
 
Songea inashawishi sana kuvunja Amri nambari 6
Habari ya songea
IMG_4364.jpeg
 
Back
Top Bottom