JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Jana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
 
Jana nililala mapema sana na hii winter la Johannesburg kali sana saa sita usiku usingizi hakuna kabisaa ningekua Arusha au Daslm ningeenda kutembea huko nje kwa mapopo wenzangu hapa ni hatari sana kutoa mguu huko nje ni zaidi ya Sudan kusini labda uwe jambazi mwenzao ndio Uta survive..
Hahaha kudadadeki, Ko uki chommoka nao wana taka kuchomoa roho na mali zako.
 
Back
Top Bottom