Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,308
- 96,503
01:24 I mean no malice to nobody
Shalom ma boss😂😂😂 dah wanikumbusha Club capricabana rock city.
Shalom mtumishi wa bwana, PdidyShalom ma boss
Mungu anazidi.kukutunza NAFURAHIA kukuona UKo haiShalom mtumishi wa bwana, Pdidy
Pdidy unajirisk sana kulala chumba cha mwanamke 😂 hebu amka uondokeNIMEKUJA kwa GFriend wangu hukuu kmr Leo nalala basi chimba chake na JIRAN juu hawajapiga cylingbord
Dk Tano zilizopita nasikia mtoto anaita baba Fidel baba Fidel mwachee mama ACHA ukorofii
Nimeangua kicheko nawaza kuamka saa kuminamoja niende kwangu...
Bmdogo ndio anaongexa kicheko kwamba mda wao WA kuhondomola
Da single room na watoto Sina shida
NKAMWAMBIA mwezi ujao inabidi tuongee na mwenye nyumba kumbe HATA zile kelele zako tukihonfomola wanatucheka kimya kimya..kama tumesikia kwao kwetu n ....
Nawaza ukorofi gani huo mda huuu
Mwaya na mkataba nimesaini mpwaPdidy unajirisk sana kulala chumba cha mwanamke 😂 hebu amka uondoke
We haya kitakukuta kitu....Mwaya na mkataba nimesaini mpwa
Ndio wanalinda nyumba kuu zetu Hawa....nalipa miezi 4 analipia MMOJA sijui HAPO inaitwa ngapi kwa ngapi..
Huyu labda nimfumanie mpwaa
Asante kweli unanipenda mpwaaPdidy unajirisk sana kulala chumba cha mwanamke 😂 hebu amka uondoke
Kweli dear ntalifanyia.kazimwallahiWe haya kitakukuta kitu....
Kuna siku utaingia humo ukute kombati imetundikwa
Linda lileeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asante kweli unanipenda mpwaa
Maana yalishanikuta tegeta
Namichimmzigo.nasikia hodi..bibie.akasema tulia usisogee Wala kutingishika akaitaa wewee
Akaondoka
Baadae akasema huyu n mpangajii ananisumbua sana.
nkajua.mwizi.mwenzangu. Na hapao simlipii Kodi loh nkaona marinda yalee
Toka.siku hioo kwa MWANAMKE sijalipa Kodi sijakanyaga loh
Mungu mwema mwezi akajichanganya anaomba helà ya Kodi NKAMWAMBIA naenda mkoani kimojaa
Mambo ya kuagana leaders hayana adabu
Mpaka kifo kitutenganishe mpwaa woiiLinda lileeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣