JamiiForums Usiku wa manane
Nipo hai wapendwa
Nawasalimia kwa jamhuri ya Muungano wa Leo de la IV
 
NIMEKUJA kwa GFriend wangu hukuu kmr Leo nalala basi chumba chake na JIRAN juu hawajapiga cylingbord

Dk Tano zilizopita nasikia mtoto anaita baba Fidel baba Fidel mwachee mama ACHA ukorofii

Nimeangua kicheko wakatulia chap

nawaza kuamka saa kuminamoja niende kwangu..
.
Bmdogo ndio anaongexa kicheko kwamba mda wao WA kuhondomola

Da single room na watoto zina shida sana Mungu tusaidie

NKAMWAMBIA mwezi ujao inabidi tuongee na mwenye nyumba kumbe HATA zile kelele zako tukimichana

wanatucheka kimya kimya..

kama tumesikia kwao kwetu n ....

Nawaza ukorofi gani huo mda huuu
 
NIMEKUJA kwa GFriend wangu hukuu kmr Leo nalala basi chimba chake na JIRAN juu hawajapiga cylingbord

Dk Tano zilizopita nasikia mtoto anaita baba Fidel baba Fidel mwachee mama ACHA ukorofii

Nimeangua kicheko nawaza kuamka saa kuminamoja niende kwangu...
Bmdogo ndio anaongexa kicheko kwamba mda wao WA kuhondomola

Da single room na watoto Sina shida

NKAMWAMBIA mwezi ujao inabidi tuongee na mwenye nyumba kumbe HATA zile kelele zako tukihonfomola wanatucheka kimya kimya..kama tumesikia kwao kwetu n ....

Nawaza ukorofi gani huo mda huuu
Pdidy unajirisk sana kulala chumba cha mwanamke 😂 hebu amka uondoke
 
Pdidy unajirisk sana kulala chumba cha mwanamke 😂 hebu amka uondoke
Mwaya na mkataba nimesaini mpwa
Ndio wanalinda nyumba kuu zetu Hawa....nalipa miezi 4 analipia MMOJA sijui HAPO inaitwa ngapi kwa ngapi..

Huyu labda nimfumanie mpwaa
 
Pita pita zangu X nakuta mama Abdul amempongeza Papa Leo wa 14. Wanazengo wanamuuliza si ungesubiri hata kesho mama, mbona umewahi hivyo. Nikafikiria tukio la father Kitima, nikawaza wee! Hata sijapata jawabu. Ngoja nikale tena.
 
Pdidy unajirisk sana kulala chumba cha mwanamke 😂 hebu amka uondoke
Asante kweli unanipenda mpwaa

Maana yalishanikuta tegeta

Namichimmzigo.nasikia hodi..bibie.akasema tulia usisogee Wala kutingishika akaitaa wewee

Akaondoka

Baadae akasema huyu n mpangajii ananisumbua sana.

nkajua.mwizi.mwenzangu. Na hapao simlipii Kodi loh nkaona marinda yalee

Toka.siku hioo kwa MWANAMKE sijalipa Kodi sijakanyaga loh

Mungu mwema mwezi akajichanganya anaomba helà ya Kodi NKAMWAMBIA naenda mkoani kimojaa

Mambo ya kuagana leaders hayana adabu
 
Unaweza jisifia unalipa Kodi anakuliza kitanda unacholala nae gesi anayokupikia kabati umenunua wewe

Khaachini khaachini haraka sana na mie mchaga nilivyomwoga na ushuziii
Lazima untokeee

Usijipongeze kwa USHINDI mpongeze na anaekukimbizaaaa
 
Asante kweli unanipenda mpwaa

Maana yalishanikuta tegeta

Namichimmzigo.nasikia hodi..bibie.akasema tulia usisogee Wala kutingishika akaitaa wewee

Akaondoka

Baadae akasema huyu n mpangajii ananisumbua sana.

nkajua.mwizi.mwenzangu. Na hapao simlipii Kodi loh nkaona marinda yalee

Toka.siku hioo kwa MWANAMKE sijalipa Kodi sijakanyaga loh

Mungu mwema mwezi akajichanganya anaomba helà ya Kodi NKAMWAMBIA naenda mkoani kimojaa

Mambo ya kuagana leaders hayana adabu
Linda lileeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom