Mazungumzo ya usiku
TUNA WAPENDA WANAWAKE WENYE KUSHUKURU
Wanaume huwa tunawathamini wanawake ambao huonesha kufurahishwa na hata yale mambo madogo tunayo wafanyia,Kwa kufanya hivyo huwa tunawapa thamani ya juu na kuzidi kuwapenda,chukulia mwanaume amekuletea kazawadi kadogo kutokana na uwezo wake au kutokana na choice yake ukaonyesha kufurahishwa nayo basi tambua mwanaume huyo siku zijazo atakufanyia kitu kingine kizuri zaidi,kwasababu amehisi umethamini kile alicho kufanyia na hivyo kumfanya akupende zaidi.
Na kinyume chake huwa hivyo hivyo,nimekuletea kapaseli ukaonyesha kutokufurahia au kutokujali,basi tambua itamkatisha tamaa mwanaume na huenda asifikirie tena kukufanyia kitu kama Hicho,hata kama hujapenda hiyo zawadi basi usimuonyeshe kuwa hujafurahishwa jizugishe ili mradi boy wako afeel okay,mbona kwenye orgasm huwa mnafeki hahahah! Mwanamke mjanja atamwambia boy wake,honey! Asante Kwa zawadi kpnz changu ila next time ukiamua kuninunulia zawadi basi nitapendelea zaidi unichukulie kitu flan,hapo utakuwa hauja humiza hisia zake, tena utakuwa umemsaidia kufanya kitu kizuri huko mbeleni.
Tunapenda wanawake ambao hata tukizingua basi hawafanyi iwe ishu kuuubwa! Trust me girls mkiwa hivyo mnatufanya tuwathamini Sana hata kama hatuta waonyesha hadharani lkn mnakuwa mashujaa wetu ktk nyoyo zetu. Nimezingua nambie babe sijapenda ulivyofanya pliz next time don't hurt my feelings! Daah tutaona aibu siku nyingine kuzingua,Kwanza tunaona kama zari kuwa hamjapanic kivile basi hapo unakuwa Queen ktk moyo WA mwanaume na hatokusahau.
Mwisho tunajua mnapenda hela waarabu wanaita fulusi,basi hata mwanaume akikupa kias kidogoi kutokana na uwezo wake Kwa Mda huo basi mshukuru,kwakufanya hivyo next time ataongeza digit zaidi,Ila mkileta zile zenu sasa honey hii hela itatosha nini? Daah hapo mnakuwa mnazingua! Unajua kwanini hiyo hela ambayo wewe unaona ndogo basi tukituma Kwa wazazi wanatuombea dua juu na kututakia baraka tele Kwa Mwenyezi Mungu,na tunabarikiwa Sana Tu.
Mlinzi wa zamu!