ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,597
- 21,642
2308
🙄00:40
Wanachama wenzangu naomba mnisamehe kwa kutoroka kwa mda kwenye hili jukwaa la usiku wa manane.
Nakili kosa na sitorudia tena kupotea kwenye jukwaa hili.
ASANTENI.
Unalala mchana kazi unafanya usiku?Madhara ya kulala mchana☹️
Leo sikuenda job..darasa la saba walikuwa na kimtihani Fulani tukaruhusiwa kupumzika...nikapiga usingiziUnalala mchana kazi unafanya usiku?
Ahaa hongera madam kumbe ni mwalimu safi sanaLeo sikuenda job..darasa la saba walikuwa na kimtihani Fulani tukaruhusiwa kupumzika...nikapiga usingizi
BarikiwaAhaa hongera madam kumbe ni mwalimu safi sana
Umesamehewa expert wangu00:40
Wanachama wenzangu naomba mnisamehe kwa kutoroka kwa mda kwenye hili jukwaa la usiku wa manane.
Nakili kosa na sitorudia tena kupotea kwenye jukwaa hili.
ASANTENI.