JamiiForums Usiku wa manane
00:40
Wanachama wenzangu naomba mnisamehe kwa kutoroka kwa mda kwenye hili jukwaa la usiku wa manane.
Nakili kosa na sitorudia tena kupotea kwenye jukwaa hili.
ASANTENI.
 
Maisha ni yako,we endelea kuogopa midomo ya watu...
Fanya kinachokufurahisha na kukupa amani ya moyo
 
04:20 I was here

Labda mwezi unavutia sababu uko mbali!

Labda nyasi huwa za kijani sana zikiwa ni fake!
 
Back
Top Bottom